Hivi Mshahara mzuri unaanzia shilingi ngapi Tanzania?

Hivi Mshahara mzuri unaanzia shilingi ngapi Tanzania?

Ivi kwa mfano mtu akikuuliza mashahara mzuri kwako ni sh ngapi , au unaanzia sh ngapi.. ?

Kwangu nikipata kuanzia net ya 2M , nitajiita moja ya wenye mishahara mizuri Tanzania


Wewe je?
hakuna mshahara mzuri ila kuna matumizi mazuri kwa mipango yako. kama matumizi yako yote na starehe zako, ulevi wako na kila kitu kwako kinaweza kubebwa na 2M basi kwako hiyo ni ishara ya mshahara mzuri. kuna wengine wanapewa mpaka milioni 25 ila wanaishia kukopa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuseme kawaida kwa mazingira ya Tanzania na waajiri tunao fanyia kazi kama mabenki, kampuni za simu, mashirika yasiyo ya serikali NGO, serikalini

Tusiseme vitu ambavyo havipo

Mfano mil 25 serikalini huwezi pata ila net ya mil 1.5 inawezekana.


Labda tuniulize HOD Tanzania anatakiwa kulipwa kiasi gani.
hakuna mshahara mzuri ila kuna matumizi mazuri kwa mipango yako. kama matumizi yako yote na starehe zako, ulevi wako na kila kitu kwako kinaweza kubebwa na 2M basi kwako hiyo ni ishara ya mshahara mzuri. kuna wengine wanapewa mpaka milioni 25 ila wanaishia kukopa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una net chini ya 5m we ni masikini. Tafuta biashara za kufanya pembeni uhakikishe kila mwezi angalau unalaza 5m
Dah...kwa muajiriwa... mshahara mzuri hauhusiani na figure....ila angalau upate 50% ya faida unayomzalishia muajiri wako....kwa mfano sisi wa bodaboda tunatengeneza faida kwa mmiliki ya Tshs 6500 kwa siku...hivyo ukilipwa buku 3 ni mshahara mzuri sana [emoji41]

Sent using Beretta ARX160
 
Back
Top Bottom