klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
khaaaa! hapa inabidi niongee kiyunani. sakramento do sokeloisa teruim liyalo asrotose. Amen!Kwa tabia hizi mnafikiri tutawataka, bora twende na vibabu vya kizungu hata vinatusikiliza kuliko nyie mnakuja usiku hamtaki kuulizwa, huko bar mnakaa kaa na vimada mkiulizwa vita, ahaha nimechoka, eti mwingine anashauri utafute nyumba ndogo imekula kwenu, ningemuona huyo mkeo ningempa dili la kupata mzungu ndio ungejua. Weka namba ya simu ya huyo mkeo alete na picha uone mambo. Acheni hizooo zimepitwa na wakati. Mke au mume kila mmoja natakiwa kupewa heshima, Acha mfumo dume. Tena endeleeni tu, tutawawekea na mazamu ya kufua kupika na kunyonyesha we ngoja. eti unampa kila kitu sijui gari watoto unatunza sijua full tank WHAT IS THAT? Alitoka kwao kwa ajili yako sio vitu. Mbona vitu tunaweza kutafuta tu. kwa kwa vile tunawaheshimu bana. KATAFUTE NJIA YA KUELEWANA NA MKEO ACHA UONEVU. NIKIMUONA TU NAMPA DILI LA MMBABU WA KIZUNGU.