Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Kuna siku nilimwaga hapa mikero kibao ya kinamama,mimgine hii hapa:
1. Mara akwambie oh Ex wangu alikuwa hivi mara vile,ya nini yote bana? mbona mliachana sasa?
2.'We nae mpira tu kila siku',maneno gani ya kunambia hayo? Fikiria kesho Man U anakipiga na Chelsea halafu nikitaka kwenda pub nikaangalie unaniletea za kuleta,nikisema nikae mnaweka mi tamthiliya yenu,is it fair,saloon mbona sikuzuii kwenda?
3.Mara oh 'naona mapenzi yamepungua' mwanzo yalikuwa kilo ngapi na sasa kilo ngapi?yamepungua kivipi umeyapima na nini? kwa nini unanipa mastress ya kukuonyesha mapenzi,si uache ya flow tu,mwisho nitakuwa mnafiki!
4.'Sipendi marafiki zako hao'.Alllaaaa yamekuwa hayo? Enzi ya uchumba tunajirusha hadi majogoo na genge hilo hilo unalosema hulitaki,leo umeolewa ndo unawaona wabaya eti 'wataniharibu'? waniharibu nimekuwa gari au picha ya ukutani?
5.'Kwa nini unanirudia saa hizi'(with legs akimbo),embu nikuulize hii nyumba yangu yako?
.........nitaendelea ngoja nishushe munkari kwanza.........
1. Mara akwambie oh Ex wangu alikuwa hivi mara vile,ya nini yote bana? mbona mliachana sasa?
2.'We nae mpira tu kila siku',maneno gani ya kunambia hayo? Fikiria kesho Man U anakipiga na Chelsea halafu nikitaka kwenda pub nikaangalie unaniletea za kuleta,nikisema nikae mnaweka mi tamthiliya yenu,is it fair,saloon mbona sikuzuii kwenda?
3.Mara oh 'naona mapenzi yamepungua' mwanzo yalikuwa kilo ngapi na sasa kilo ngapi?yamepungua kivipi umeyapima na nini? kwa nini unanipa mastress ya kukuonyesha mapenzi,si uache ya flow tu,mwisho nitakuwa mnafiki!
4.'Sipendi marafiki zako hao'.Alllaaaa yamekuwa hayo? Enzi ya uchumba tunajirusha hadi majogoo na genge hilo hilo unalosema hulitaki,leo umeolewa ndo unawaona wabaya eti 'wataniharibu'? waniharibu nimekuwa gari au picha ya ukutani?
5.'Kwa nini unanirudia saa hizi'(with legs akimbo),embu nikuulize hii nyumba yangu yako?
.........nitaendelea ngoja nishushe munkari kwanza.........