Kwenye daladala akanilipia nauli tukaanzia hapo
simple and clear nimeipenda hiyo safi sana
Kwenye daladala akanilipia nauli tukaanzia hapo
duuh sipati picha ilikuaje
tatizo ckupiga picha ungeipata m2 wangu , yaani ilikuwa kama kumsukuma mwendesha bisikel mteremkoni mzee...................wenyewe mnaita kiulaiiiiiiiniiii
umenikumbusha mbali saaana lol
wana JF unajua two couples always have a long history hadi wanapofikia kuishi pamoja au kuoana,kuanzia kukutana kwao pamoja na mengi wanayopitia,wengine walikutana bar,wengine beach,wengine disco,wengine kwenye daladala,wengine chuoni au shuleni,wengine kazini na wengine kwenye matatizo,yani sehemu ni nyingi siwezi kuzitaja zoe,hebu leo tukumbushane nyie mlikutana wapi?
kwakweli mie nikikumbuka nilipokutana naye napata uchungu sana na kutamani kumuacha ingawa firstman wangu huyu ni wa pekee duniani.ila sinikumbushe mzee................!
mimi nilitangaza hapa hapa na tukakutana hapa hapa lakini bado hatuja onana ila my wife wangu du hata sikumbuki tulikutana wapi maana ....... We acha tu.
Hospitali,wodini she was my patient.
Nilkuwa mwalimu nae alikuwa mwanafunzi patamu apo!
Kwa hiyo huyu wa JF mnafanya Infi.......:nono:mimi nilitangaza hapa hapa na tukakutana hapa hapa lakini bado hatuja onana ila my wife wangu du hata sikumbuki tulikutana wapi maana ....... We acha tu.
Bao hatujakutana tukikutana ntajibu kwa ufasaha