Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,466
- 2,642
Mkulu alisema hawaongezei mshahara Ila 19 kila mwezi analipa mshahara ss huyu mpangaji anasema bado hàjalipwa nashindwa kumuamini. Je ni kweli mpaka wawe na line ya ttcl?Nasikia mpaka uwe na laini ya TTCL ndio unawekewa mshahara