Ngojea wadau watakujibu.Afya.
Wakuu, naomba kuuliza...Mishahara ilitoka au bado?
Now nipo shambani, sipo karibu na Bank. Naomba mnifahamishe ndugu zangu.
Hahaha hahahah hali tete na vile ule uliopita ulitoka tarehe 19.Hadi tarehe 24
HahahUnaweza cheleweshea utaimaliza kabla ya Idd Mjomba
Thread za namna hii ndio zinanifanya niwaandalie wanangu mazingira ya kujiajiri zaidi kuliko kuajiriwa! Dah!
Mkuu utumishi kwa nchi masikini kama Tanzania ni taabu sana ona watumishi akili yote inawaza mshahara kama umetoka sipati picha siku usipotoka watumishi watakuwa na hali ganiDaaah haya maisha niliyakataa tangu ningali mtoto ndo maana nikakulia ndani ya umachinga siwazi mshahara nawaza kukuza biashara nakuongeza Wateja nipate kipato zaidi
Hadi leo saa saba mchana ilikuwa badoWakuu, naomba kuuliza...Mishahara ilitoka au bado?
Now nipo shambani, sipo karibu na Bank. Naomba mnifahamishe ndugu zangu.
Yah ni nzuri sana hiyo, hasa wakijikita kwenye koroshow watatengeneza pesa sana.Thread za namna hii ndio zinanifanya niwaandalie wanangu mazingira ya kujiajiri zaidi kuliko kuajiriwa! Dah!
Ni kwel mkuu lakini unadhani kila mtu akijiajiri nani atatoa hizi huduma tunazozipata kwa hawa waliojiriwa? Mathalan kweny afya,elimu,n.k lakini pia huyu aliajiriwa naye ni haki yake kupata kile anachostahili hivyo mleta thread tusimchukulie kama mtu asiye na diraThread za namna hii ndio zinanifanya niwaandalie wanangu mazingira ya kujiajiri zaidi kuliko kuajiriwa! Dah!