OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,689
Sisi wenye TTCL tayari
Mbona wameshatoa tangu juzi tumeshamaliza na kumaliza kabisa nduguNini kimeisababisha serikali kuchelewesha sana mishahara ya watumishi wa umma mwezi huu kuliko miezi mingine!? Ni muda mrefu sasa serikali imekua ikiwalipa watumishi kabla ya tare 24 lkn mwezi huu sijui wamekwamia wapi!
Ukitimliwa kazi leo basi utajinyonga tu huna namna....natania tuNmb oyeeee
Watumishi.mnakera kuulizia mishahara subirini tarehe ifikeNi kwel mkuu lakini unadhani kila mtu akijiajiri nani atatoa hizi huduma tunazozipata kwa hawa waliojiriwa? Mathalan kweny afya,elimu,n.k lakini pia huyu aliajiriwa naye ni haki yake kupata kile anachostahili hivyo mleta thread tusimchukulie kama mtu asiye na dira
Na tunaosubiria mlipwe mtuungishe itakuajesaa 12:48pm bado kimya!
Mm nakapenda kweli kasalary hata kama huna njaa ila ni katamu sanaaaaaaaaaa
Tukope Mara ya ngapi?. Mishara menyewe tunayosubili ni balaaaa mtupuKopeni watumishi mjishughurishe na miradi.Mishahara imeshakuwa ndoto.