Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,641
Huyu dogo mi mwenyewe ndio naliona jina leo, anyway nimejua kuna jina kama hilo jf.
Kwa Ushauri tu: kijana bado ni mdogo ukute una ka spacio sasa ukishika na chupa na maji wakati unashuka mwenyewe unaona maisha ushamaliza take care dogo..
Sent using Jamii Forums mobile app