Wadau zangu kwa sasa nipo mkoa wa kagera nipo maeneo ya BUKOBA.
Katika huu mkoa siku zote najua wenyeji wa Mkuu mkoa ni WAHAYA
Lakini kinachonishangaza WAHAYA wenyewe kwa wenyewe wanabaguana maana nasikia kuna waziba, wanyaingiro, wanyambo, wahamba,waganda kyaka, wayoza
Nilipojaribu kuuzila nikaambiwa hawa...
Waziba wanatokea UGANDA
Wayoza wanatokea shinyanga kiasili ni wasukumaa
Wanyangiro hawa WAKO muleba ASILI yao nimeambiwa ni mchanganyiko wa mrundi na mnyarwanda pia kuna mhutu na mtusI Lakini pia naambiwa NI zao LA mjaluoo ndo maana rangi zao zinafanana
Wanyambo nasikia ni mchanganyiko wa muhutu na mtusi waliokimbia vita ya Rwanda mwaka 1959.
Mganda kyaka huyu nimeambiwa sio muhaya huyu anaitwa ni muhutu wa ugandaa.
Wahamba nasikia hawa ki ASILI NI wajaluo waliolowea muleba muda mrefu sana waka adapt UHAYA.
Jamani hadi sasa hebu tuambieni muhaya asilia anatokea wapi