tufanye mchakato wa kuomba usajili wa kutangaza matangazo ya tanesco
Umeonae afu watulipe kabisaa!
hao ndo tanesco....wanaangaza maisha yako....
Ni wa masaa 12 kwa siku, lengo ni kuwanyima kuona vikao vya bunge, unamaliza wiki sasa. naomba kuwasilisha.
umeonae afu watulipe kabisaa!