Ni ajabu sana TANESCO wanapewa lawama na Rais anaachwa

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,496
8,734
Hii nchi shida kuu ni unafiki, naona kwenye mitandoa kutwa nzima, lawama zinatupiwa TANESCO utazania hio TANESCO ni nchi. Kuambiana Black and White ni ngumu sana nchi hii.

Huu mgao wa umeme Raisi anawajibika nao kwa asilimia 100, lawama zote anapaswa kubebeshwa yeye kama yeye. Haya mambo ya kuonena aibu, kwamba lawama anatupiwa TANESCO ni upumbavu mkubwa sana.

Na sio swala la umeme tu ni mambo yote yanayo endelea, kuna wakati pia naonaga Mwigulu anatupiwa lawama, huu nao ni ujinga, mwigulu anatupiwa vipi lawama? kwani kajiteua pale?

Tatizo la Umeme Mama ndio mtu wa kwanza wa kutupiwa lawama, haiwezekani mwaka mzima Taifa lina mgao wa umeme na tunachekeana humu na kulaumu Tanesco.Hakuna mtu mwingine wa kulaumu zaidi ya Raisi kwenye hili swala la mgao.

Raisi alipaswa kujua huu mgao na kuja na solution zake, haiwezekani tuendelee kuambiana yeye sio Mungu haleti mvua.
 
Ni kweli mkuu mtoa mada,watanzania ni wa ajabu hasa middle class wetu, kuna msemo unasema ukisubiri kujipanga utaishia kupangwa, 30yrs ijao, watoto wetu watabakia humu kuandika comments wakati mtoto wa RC Chalamila atakua DED huku Namtumbo!
 
Hii nchi shida kuu ni unafiki, naona kwenye mitandoa kutwa nzima, lawama zinatupiwa TANESCO utazania hio TANESCO ni nchi.Kuambiana Black and White ni ngumu sana nchi hii.

Huu mgao wa umeme Raisi anawajibika nao kwa asilimia 100, lawama zote anapaswa kubebeshwa yeye kama yeye. Haya mambo ya kuonena aibu, kwamba lawama anatupiwa TANESCO ni upumbavu mkubwa sana.

Na sio swala la umeme tu ni mambo yote yanayo endelea, kuna wakati pia naonaga Mwigulu anatupiwa lawama, huu nao ni ujinga, mwigulu anatupiwa vipi lawama? kwani kajiteua pale?

Tatizo la Umeme Mama ndio mtu wa kwanza wa kutupiwa lawama, haiwezekani mwaka mzima Taifa lina mgao wa umeme na tunachekeana humu na kulaumu Tanesco.Hakuna mtu mwingine wa kulaumu zaidi ya Raisi kwenye hili swala la mgao.

Raisi alipaswa kujua huu mgao na kuja na solution zake, haiwezekani tuendelee kuambiana yeye sio Mungu haleti mvua.
Mshaambiwa mvua bado hazijanyesha Kanda ya Kati na kusini kujaza mtu sasa mnalalama nini subiri Mwezi march only
 
Hata tukilaumu hatutapata Solution,

Tatizo la upungufu wa umeme/kukatikakatika kwa Umeme Tanzania it's Gross failure of decade of regime changes Since ,Mkapa to Kikwete.

JPM at least alikuja na solutions ya Kujenga Bwawa, haya ya Technicality za Tanseco kutokuwa na mango wa dharula inapotokea Ukame au mashine kuharibika(wakati Kuna preventive maintenance/periodic maintenance ni uzembe.

Tusubili tuone JNHP outcomes.tu Kwa sasa tunapoteza nguvu za maneno Kwa kitu tulishindwa kuona miaka 30 iliyopita .
 
Hii nchi shida kuu ni unafiki, naona kwenye mitandoa kutwa nzima, lawama zinatupiwa TANESCO utazania hio TANESCO ni nchi.Kuambiana Black and White ni ngumu sana nchi hii.

Huu mgao wa umeme Raisi anawajibika nao kwa asilimia 100, lawama zote anapaswa kubebeshwa yeye kama yeye. Haya mambo ya kuonena aibu, kwamba lawama anatupiwa TANESCO ni upumbavu mkubwa sana.

Na sio swala la umeme tu ni mambo yote yanayo endelea, kuna wakati pia naonaga Mwigulu anatupiwa lawama, huu nao ni ujinga, mwigulu anatupiwa vipi lawama? kwani kajiteua pale?

Tatizo la Umeme Mama ndio mtu wa kwanza wa kutupiwa lawama, haiwezekani mwaka mzima Taifa lina mgao wa umeme na tunachekeana humu na kulaumu Tanesco.Hakuna mtu mwingine wa kulaumu zaidi ya Raisi kwenye hili swala la mgao.

Raisi alipaswa kujua huu mgao na kuja na solution zake, haiwezekani tuendelee kuambiana yeye sio Mungu haleti mvua.
Principal ya uchawa rais anatajwa wakati wa sifa tu. Ikiwa mambo hayaendi sawa lawama ni kwa wahusika, ila sifa zozote ni za rais.
 
SHIDA sana hii nchi

Samia aliezwa mwanzo kabisa alipompa wizara januari na kuteua bodi mpya na mkurugenzi maharage akapuuza akifikiri watu wanafanya majungu wanawaonea wivu,sasa kwa miaka miwili wamekwenda kuharibu kabisa pamoja na kujinasibu kwamba wanafanya matengenezo ya mitambo iliyochakwa awamu ya tano kitu ambacho hakina ukweli zaidi ya propaganda za kutaka kumchafua mtu.

Sasa hali ni mbaya mtaani kuliko unavyoweza kufikiri
 
Back
Top Bottom