Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hahaa mito isijekuwa tunafahamiana aisee...huyo dada B mbona kama mimi

Hahaaaa kwani na wewe hunukii mkuu? ila uenda tunafahamiana kweli Khantwe, kwani we upoje upoje? ahaaaaa swali gumu hili, loh!!!

Halafu una bahati, leo nilipanga nikumention pamoja na BADILI TABIA na amu, nilihisi mmekula kona labda hamnukii teh teh teh!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
Mito kulikoni mpaka mapovu yanakutoka sana leo umekereka na nin sis kunuka
hivi unajua kuwa mwanadamu ni mavumbi na hayo mavumbi ndo yanayonukaa

Ukiona hivyo nimekereka mbaya dadaangu, hainiingii kichwani mdada unaachaje kunukia bana!!
 
kusema ukweli mimi sijakereka bali sijakuelewa.
kama wewe ni me jaribu kujichunguza kidogo maana unavi element vya um....b..ea na mi ...si..fa. yaan hapa umetoka kwenye mada unatuletea story za ndege. ck hz ndege ni km bodaboda. haya sasa tushajua class yako. ila kama ni ke si mbaya sana maana biashara matangazo kwan kunake wengi wanahis huolewa kwa status.

Mbona kama vile umekereka.Alivosema ndege kakosea eti?kwa iyo angesema walipulizia hizo air freshener kwenye basi asingekua na hizo element?Na kama ndege zimeshakua kama bodaboda kwanini umeandika hicho ulichoandika?
 
Ha ha ha ha ha ukinitoa hautapata wa kunireplace

Weeeeeeee!!! kuna wawili wanakufukuzia mbaya, actually mmoja ndo anaongoza then unafuata wewe, halafu ndo anakuja yule mwingine
Kumbe umesahau yule anayemuogesha mumewe? sema nimemsahau jina, halafu kuna yule aliyekusaidia kuelezea namna mumewe anavoacha boksa chafu chumbani? naye pia ID yake nimeisahau. Hahaaaa nyie watatu kwa kweli sijaona, mnakimbiza mbaya!!
 
Laiki ze maza laiki dota. Kachunguze wazazi wao utajua namaanisha nn


Your are right, lakini yaani hadi uko mashuleni sijuie maofisini wameshindwa kuiga kwa wenzao aisee
 
Nimekupata vizuri NANDERA
Ila kwa hawa nakubaliana na wewe kwa point ya msongo na hiyo ya haiba ya uchafu by nature. Hizo points nyingine haziapply kwa hawa coz I know them very well
 
Last edited by a moderator:
Mh! mi sijaona tatizo hapo.. zaidi ya huyo mmoja kuwa na Nguo za Ajabu ajabu... kununua nunua mazagazaga mengi ni wastage of money. frankly..:hand:

Mmh haya bwana
 
pole wazoee tu mmkuu usikereke kwani maisha ni uamuzi wa mtu anukie au asinukie wengine wanaona fahari kuwa hvyo
Ukiona hivyo nimekereka mbaya dadaangu, hainiingii kichwani mdada unaachaje kunukia bana!!
 
Nimekupata vizuri NANDERA
Ila kwa hawa nakubaliana na wewe kwa point ya msongo na hiyo ya haiba ya uchafu by nature. Hizo points nyingine haziapply kwa hawa coz I know them very well

Shikamoo kaka mito, sijui nikuombe hela?
 
Last edited by a moderator:
Mmh asinipe mie tena dadake kipenzi weee. Afu my kaka mito kuna sehemu tumekuita wee hata hujafika

Baba yako yuko wapi? Mwambie huyo karumanzila wake nitamfungia kwa maombi, akomee mie kila wakati kumuwazawaza tuuu na wakati hata hela hanipi
 
Last edited by a moderator:
Baba yako yuko wapi? Mwambie huyo karumanzila wake nitamfungia kwa maombi, akomee mie kila wakati kumuwazawaza tuuu na wakati hata hela hanipi
Hehehe umeshikwa ukashikika, ngoja aendelee kukushika hadi wewe ndo uwe unamuhonga
 
Hehehe umeshikwa ukashikika, ngoja aendelee kukushika hadi wewe ndo uwe unamuhonga

Hahahaaaaa! Siamini mambo yananigeuka hivi hivi? Sasa mimi nitamuhonga nini jamani? Asinifanyie hivyo!

Alafu na wewe kaka mito usiwe unamtajataja Kaboom kwenye post zako, unanifanya namkumbuka wakati nishamsahau.
 
Last edited by a moderator:
Pafyumu tulishakubaliana usinipe hela kabisaaa, ulete tu pafyumu, nataka za sikukuu, ila Heaven Sent usimpe.

Mmh basi umechelewa kunikataza, nshamtumia tangu jana ujue, alinililia eti lotion imemwishia kaishaanza kupauka ngozi nisijemsema bure lotion!! basi bwana si unajua tena damu nzito, ikabidi tu nimrushie fasta kwa halotel, hope leo ananukia, teh teh

cc Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa! Siamini mambo yananigeuka hivi hivi? Sasa mimi nitamuhonga nini jamani? Asinifanyie hivyo!

Alafu na wewe kaka mito usiwe unamtajataja Kaboom kwenye post zako, unanifanya namkumbuka wakati nishamsahau.
heheehe "mahaba niuwe, niponde ponde kama nyanya"
 
Last edited by a moderator:
Pafyumu tulishakubaliana usinipe hela kabisaaa, ulete tu pafyumu, nataka za sikukuu, ila Heaven Sent usimpe.

Mmh asinipe mie tena dadake kipenzi weee. Afu my kaka mito kuna sehemu tumekuita wee hata hujafika

Baba yako yuko wapi? Mwambie huyo karumanzila wake nitamfungia kwa maombi, akomee mie kila wakati kumuwazawaza tuuu na wakati hata hela hanipi

Hehehe umeshikwa ukashikika, ngoja aendelee kukushika hadi wewe ndo uwe unamuhonga


nyie kwa kuchakachua thread mnaongoza....
 
Back
Top Bottom