Huyu baba yako hataa simuelewi, mie nilijua mchana anatania kumbe he was serious!!
😱😱😱😱😕😕 sasa mbona kanunua baby care? Mchana alikuwa anawakawaka kama mkrismasi, na nguo zake za maua ua kuanzia juu hadi chini.
Leo mchana kaamua kuniambia mwenyewe, na sijui ndio kaamua kuniroga, maana nashangaa kila nikikaa najikuta tu namuwaza yeye, anitue!
Hapana mchana nilipaka mafuta ya mawese mbona
Khaaaaah!! Ndio maana na nyuki walikuwa wanakuzengea, hela ulipeleka wapi?
Hela nimehifadhi ya birthday partyyyy
Hahahaaaaa nitajitolea gari la RRONDO la kutupeleka kwenye besidei
kuna jukwaa linaitwa CHITCHAT.....linawafaa sana
Teh labda kama unaandaa mihogo party yenu na RRONDO, khaa msije mkanipa kiribatumbo mie. Teh lift ya miguu au? raha kweli kutaja gariHahahaaaa! Mie sialikwi ndio muandaa shughuli, si unajua we unazo za darasani tu?? Hutaki lifti wewe?
Teh labda kama unaandaa mihogo party yenu na RRONDO, khaa msije mkanipa kiribatumbo mie. Teh lift ya miguu au? raha kweli kutaja gari
Hapana sijazoea dezo kwa kweli. Bora tu nipande mkokoteni kuliko kitakachonikuta na hiyo lift yenu ya gari la kuchoraHahahaaaaaa!! Mie nina magari manne mwenzio(sijui ya mabox) nitajitolea kukubeba besidei gelo na ukoo wako, alafu kumbe hujui utamu wa mihogo wewe!! Subiri utaona kama hujaniambia kila siku nikufuate ukale mihogo.
Ulisikia wapi kuwa ni mme wangu? Of coz yes, he is my darlin hubby, na wewe ukishaoa utaacha tu huo ubandindu wako. Yupo busy anaenjoy ndoa mwenzioKuna mtu anaitwa Paulo Sergio De Souz yuko wapi? Nilisikia ni mumeo Heaven Sent huuuyu kijana huwa napenda michango yake kwenye mada kama hizi ingawa siku hizi amekuwa mlengo wa kushoto mimi kulia.
Hahaha sawa brazaman, wasalimie wala mihogo wenzio huo. pitaga na kwa vijana ujiachie na ekotite, itapunguza mgutambi hugoma sista du mna shida....ngoja niwahi msondo nikasikilize muziki wa ukweli saa hizi.......
Eeh sasa la My kaka si Napiga hadi na honi sasa. Ila make sure unanukia usijeshangaa watu wanafungua vioo vya magari yaoTeh teh teh teeeeh!! Hutaki lift tena jamani? Hata la kaka mito?
Eeh sasa la My kaka si Napiga hadi na honi sasa. Ila make sure unanukia usijeshangaa watu wanafungua vioo vya magari yao
Kizuri Kula na Nduguyo, chako chetuuuuKaka alishasema ataniletea losheni,na sijui nini ile nyingine, na Nyani Ngabu ataniletea kitu cha digirii yaani fuul kunukia kikwapa choteee kwishney
Atajuta kutufahamuHahahaaaa! Tutanukia hadi kaka mito atusahau.
Atajuta kutufahamu
Hahaha na dressing table nishanunua. Yani atatusahauTukijumlisha na kubadilishana nguo na viatu, mbona atatupita njiani akijua ni wadada wapya mtaani, sijui atamnanga nani tena!!
Teh daddy acha tu wanyaki tuitwe wanyaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jf ina mawenge kwangu sometimes..Inanigomea kuquote
atoto Acha jeuri..Uache moyo wako uongee..Mtu hawezi kusahau jinsia yake..
mito we mbona deile unanisumbua pm kuhusu binti yangu mi sisemi..Mambo ya pm yabaki plz
Heaven Sent Atoto kadata kwa chotara wa kinyaki lol..Soon tutaanza kula pesa
Hahaha na dressing table nishanunua. Yani atatusahau
Jf ina mawenge kwangu sometimes..Inanigomea kuquote
atoto Acha jeuri..Uache moyo wako uongee..Mtu hawezi kusahau jinsia yake..
mito we mbona deile unanisumbua pm kuhusu binti yangu mi sisemi..Mambo ya pm yabaki plz
Heaven Sent Atoto kadata kwa chotara wa kinyaki lol..Soon tutaanza kula pesa