Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hii mada umeandikwa na mwanaume au mwanamke? Maana sielewi.

Mbona kama imekaa kikicheni pati hivi?
 
Laiki ze maza laiki dota. Kachunguze wazazi wao utajua namaanisha nn
 
Usiende huko yatakuwa mengine

najikuta wakati mwingine nachukia.

unajua kuna msemo unasema, coins huwa zinapiga kelele lakini noti huwa zinanyamaza.

sasa mambo ya ndege yametoka wapi hapi? watu waende straight to the point.

ila nimejua alitaka tujue alishapanda ndege.

hahahahahahahahahhah
 
Hahaa mito isijekuwa tunafahamiana aisee...huyo dada B mbona kama mimi
 
Last edited by a moderator:
Sijasoma comments zote ila naungana na housegirl kuhusu msongo na kuzidiwa majukumu na kufulia. Kutumia kigezo cha digrii na kiwango cha mshahara si sawa maana hujui matumizi ya mtu. Kuna watu wana vipato vidogo ila ni watanashati na warembo sana. Wako radhi kushindia mihogo ili akawekeshe hela kwa muuza vipodozi, viatu na mapochi. Wengine wana vipato vikubwa na majukumu mengi yanayohitaji fedha. Kuna watu wana mtoto mmoja lakini wanasomesha watoto karibia 10 wa ndugu au wa mtaani. Wengine wana watoto watano lakini hawategemewi na watu wengine.

Wakati mwingine unakuwa kwenye msongo. Ukiwa kwenye msongo huna unalojali: kuche kusikuche, uvae usivae unaona sawa tu. Unakuwa umejichoka huoni thamani yako kwa hiyo hujali watu watakuonaje. Matarajio yako yameparaganyika, na matumaini hakuna. Unakosa sababu ya kupaka poda. Halafu kwa utafiti mdogo niliofanya baada ya ku-experience msongo na kunyoa nywele niligundua nywele zilipokuwa zinaota nami nilikuwa napata nafuu. Kunyoa nywele ni hatua ya uponyaji kwa watu wenye msongo. By the time zinakuwa msongo unakuwa umepungua au kwisha. Nilipotokewa na hii kitu niliweza kuelewa kumbe ndo maana dada yangu fulani alinyoa nywele kipindi kile shemeji kachepuuuuukaaa..... kumbe hata fulani kipindi kile alikuwa anapitia wakati mguuuumuuu... Sasa msiseme wanawake wote wanaonyoa wana msongo. Sababu za kunyoa ziko nyingi.

Wakati mwingine uchumi unadorora. Hela yako unaitumia kwa vitu muhimu visivyoweza kusubiri. Viatu na nguo vitasubiri. Huwezi kununua miviatu na mapochi ya kumechisha na nguo wakati kuna bili elfu za kulipa. Kwa hiyo unabaki na pea zako mbili za viatu, sketi/suruali tatu na blauzi kadhaa. Nywele utaweka mtindo nafuu ku-maintain. Uchumi ukirudi sawa unaendelea kununua viatu na nguo unavyotaka.

Wanawake wengine kama walivyo wanaume wana haiba tu ya uchafu. Hawajijui kama wananuka. Wengine wanadai wanaogopa kansa kwa hiyo eti wanaoga vizuri hivyo hawanuki.

Wanawake wengine wanazidiwa na majukumu hasa ya nyumbani wanakosa muda wa kujiangalia.
 
Duh ndo nimepwaya hivi hadi nimeshushwa kiwango namna hii??!! natolewa kwenye top ten hivi hivi, hapana sikubali nakata rufaa aisee!! Ila sawa tu bwana, lakini ujue namimi nakutoa kwenye top 3 ya wanaojua kutunza hubbies wao, teh teh

Ha ha ha ha ha ukinitoa hautapata wa kunireplace
 
Mh! mi sijaona tatizo hapo.. zaidi ya huyo mmoja kuwa na Nguo za Ajabu ajabu... kununua nunua mazagazaga mengi ni wastage of money. frankly..:hand:
 
Hahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaa
Hivi wewe unapaka poda ?

kama unapaka kwa nini upake wakati mimi sipaki ?

kama hupaki je kwa nini hupaki wakati Ommy dimpoz anapaka hadi wanja ??

Nataka jibu
 
Sometimes utofauti katika kufahamu mambo hutufanya kuwaona baadhi ya watu hawako sawa.
Kwani wewe "USAFI" kwako ina maana gani haswa?
 
Mito kulikoni mpaka mapovu yanakutoka sana leo umekereka na nin sis kunuka
hivi unajua kuwa mwanadamu ni mavumbi na hayo mavumbi ndo yanayonukaa
 
Mito kulikoni mpaka mapovu yanakutoka sana leo umekereka na nin sis kunuka
hivi unajua kuwa mwanadamu ni mavumbi na hayo mavumbi ndo yanayonukaa

Hahahaaaaaa!! Kwakweli nimejikuta tu nikicheka.
 
Back
Top Bottom