kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
nimekuwa nikiona post nyingi za watu kipindi hichi wakipost chini utakuta namuunga mkono freeman aikael mbowe agombee urais 2015 hivi kweli chadema yeye ndio chaguo sahihi? Tuangalie tusije kizika chama chetu maana siamini kama anasound kwa watu kama slaa.!