Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
Ccm wanatafakari jinsi ya kumuondolea kinga ya kutoshitakiwa Lowasa.
kushitakiwa kwa kosa lipi?
Ccm wanatafakari jinsi ya kumuondolea kinga ya kutoshitakiwa Lowasa.
Mkuu umenifurahisha sana kwenye nyekundu hapo.Hata wewe mkuu ukipigwa kofi la nguvu la usoni lazima akili zikuhame..CCM ilikuwa ina "mbipu" Lowassa na mwenzao kapiga simu hawakutegemea kabisa kuwa Lowassa angechukua maamuzi kama haya Huku mtaa wa Lumumba hakukaliki makundi yanalaumiana na wanazidi kugwayana..hivi kalibuni kila mtu atachukua mbao zake .
Mimi nawaonea huruma sana akiana Ritz,fauzyfox,Lizabon Nape etc sijui wataishije mjini bila CCM :cheer2:
Ccm wapo bize kukamilisha maandalizi ya bao la mkono
CCM wamemaliza mchakato wa kumpata mgombea. Sasa waongee nini? na nani? Wa kuongea ni wale waliokatwa na kwa bahati mbaya badala ya kuongea kwenye vikao wanazungumza na magazeti ambayo mengi wanamiliki wenyewe. Halafu mbona anayelalamika ni mmoja tu na ndiye aliyekuwa na hofu tangu mwanzo kuwa jina lake litaondolewa? Mara likikatwa patachimbika, mara hakuna atakayethubutu kukata jina mara huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono n.k. Kinachoonekana sasa baada ya kukatwa badala ya kuchimbika yeye ameanza kuchimba kaburi lake kwa kifo chake cha kisiasa.
Kimya kingi kina mshindo mkuu. Mimi nawaza usalama wake tu.
Sahivi ni mda wa kazi mipasho waachiwe wanunuzi wa vyama
Kofili Lao haliuziki hata kwa dawa, limekuwa kama wali kiporo!! Kuna watu wana damu ya kupendwa bwana! lowasa Ana damu ya kupendwa
Hata wewe mkuu ukipigwa kofi la nguvu la usoni lazima akili zikuhame..CCM ilikuwa ina "mbipu" Lowassa na mwenzao kapiga simu hawakutegemea kabisa kuwa Lowassa angechukua maamuzi kama haya Huku mtaa wa Lumumba hakukaliki makundi yanalaumiana na wanazidi kugwayana..hivi kalibuni kila mtu atachukua mbao zake .
Mimi nawaonea huruma sana akiana Ritz,fauzyfox,Lizabon Nape etc sijui wataishije mjini bila CCM :cheer2:
Tangu kuanza kwa drama za watu waliokatwa na wasiotakiwa ndani ya chama kuhama na wengine kutishia kuhama chama..naona ccm wako kimya tu,ukimya wao utakua unaashiria nini?
Tangu kuanza kwa drama za watu waliokatwa na wasiotakiwa ndani ya chama kuhama na wengine kutishia kuhama chama..naona ccm wako kimya tu,ukimya wao utakua unaashiria nini?
Wamechanganyikiwa, wape pole tu!