Na huo ndio ukomavu wa kisiasa,kelele na fujo sio issue,viva ccm
Watanzania hivi sasa hawadanganyiki tena
Na huo ndio ukomavu wa kisiasa,kelele na fujo sio issue,viva ccm
Subiri siku Lowassa atakapokabidhiwa kadi ya CHADEMA ndiyo utawaona CCM.
MaCCM huwa hayakurupuki katika mashambulizi ya kisiasa.
Ukiona simba amelowa...
Subiri siku Lowassa atakapokabidhiwa kadi ya CHADEMA ndiyo utawaona CCM.
MaCCM huwa hayakurupuki katika mashambulizi ya kisiasa.
Ukiona simba amelowa...
Tangu kuanza kwa drama za watu waliokatwa na wasiotakiwa ndani ya chama kuhama na wengine kutishia kuhama chama..naona ccm wako kimya tu,ukimya wao utakua unaashiria nini?
Nape yupo buzzy na kgombea ubonge-huko Mtama .
hata kwa goli la mkono ccm itabakia madarakani octoba na mtatafutana humu we unafikiri inchi mtaipata kwa porojo zenu hzo za ukawa na hata mkishinda msitarajie kupewa kirahisi.mfano tu cuf na ccm znzbar unajua ukweli ulioko chaguz zote ss ndo ujiulze je octoba ukiwa wataweza?au ndo ukiwa kweeeli mm npo
waziri mkuu hana kingaccm wanatafakari jinsi ya kumuondolea kinga ya kutoshitakiwa lowasa.
hata kwa goli la mkono ccm itabakia madarakani octoba na mtatafutana humu we unafikiri inchi mtaipata kwa porojo zenu hzo za ukawa na hata mkishinda msitarajie kupewa kirahisi.mfano tu cuf na ccm znzbar unajua ukweli ulioko chaguz zote ss ndo ujiulze je octoba ukiwa wataweza?au ndo ukiwa kweeeli mm npo
Mimi kuna watu wananiacha hoi, kama Lowassa Kina membe tu walikuwa wanamtoa jasho na kumfanya ahangaike na kila aina ya politica stunt, hivi anategemea kweli wazee wa fitna wooote wa Lumumba wakiungana atasalimika?
Kama wazee wa-5 wa KK wamemnyoosha, what will happen, watu kama Kina wasira, Kinana, Makongoro wakiingia kwenye full assault?
Ningekuwa Lowassa, ningeachana na attack kwa CCM,kwani ni vita isiyoshindika,it has been proved, kwani hata akishinda kwa kura, kitengo kilichomkata jina, ndio hico hicho kimemteua mkurugenzi mpya wa NEC, na ndio kinasimamia BVR zote Tanzania..,
Mbowe huko aliko roho safi, kwani Bajeti ya Kampeni sio issue tena.., na kwa mara ya kwanza tutaona upinzani wakifanya proper campaign. Ila ukweli ni kuwa kama Maalim Seif hadi leo hii ni mpinzani.., basi Lowassa kuingia ikulu wakati kitengo kipo kinamtazama yatakuwa maajabu ya dunia ya 9. Yani ikitokea ameshinda kweli kweli, wataishia kumuundia serikali ya umooja wa kitaifa na kumpa cheo cha makamu wa 8 wa raisi mwenye ofisi mbezi makabe,huku wizara yake kuu ikiwa kitengo cha maafa na mazingira kama walivyomfanyia Maalim Seif.
Mkuu,Mimi kuna watu wananiacha hoi, kama Lowassa Kina membe tu walikuwa wanamtoa jasho na kumfanya ahangaike na kila aina ya politica stunt, hivi anategemea kweli wazee wa fitna wooote wa Lumumba wakiungana atasalimika?
Kama wazee wa-5 wa KK wamemnyoosha, what will happen, watu kama Kina wasira, Kinana, Makongoro wakiingia kwenye full assault?
Ningekuwa Lowassa, ningeachana na attack kwa CCM,kwani ni vita isiyoshindika,it has been proved, kwani hata akishinda kwa kura, kitengo kilichomkata jina, ndio hico hicho kimemteua mkurugenzi mpya wa NEC, na ndio kinasimamia BVR zote Tanzania..,
Mbowe huko aliko roho safi, kwani Bajeti ya Kampeni sio issue tena.., na kwa mara ya kwanza tutaona upinzani wakifanya proper campaign. Ila ukweli ni kuwa kama Maalim Seif hadi leo hii ni mpinzani.., basi Lowassa kuingia ikulu wakati kitengo kipo kinamtazama yatakuwa maajabu ya dunia ya 9. Yani ikitokea ameshinda kweli kweli, wataishia kumuundia serikali ya umooja wa kitaifa na kumpa cheo cha makamu wa 8 wa raisi mwenye ofisi mbezi makabe,huku wizara yake kuu ikiwa kitengo cha maafa na mazingira kama walivyomfanyia Maalim Seif.
Leo umeongea kishabiki mkuu
Sio kila wakati kitengo kinakuwa na nguvu. Unafika muda itabidi wakubaliane na hali halisi tu. Utafanyaje hujuma kama mtu ameshinda kwa 80%?
Usiwe na uoga wa "kitengo" they are nothing sometimes.
Hilo swala la kuiattack CCM nakubaliana nalo 100%. Lowassa kama akiteuliwa kugombea urais akae chini na team nzima ya ukawa kutengeneza ilani ya uchaguzi na kuisimamia.