Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..
Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka. Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.
Si weupe,si wekundu, si wa njano na hata weusi, wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi, ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life. Hapa Bongo naona design kama watu wanachukua tuu gamba, labda tu kama kuna siasa ndio zinawakwamisha.
Kuna watu wa uchumi, Political science, vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.
Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?
Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka. Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.
Si weupe,si wekundu, si wa njano na hata weusi, wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi, ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life. Hapa Bongo naona design kama watu wanachukua tuu gamba, labda tu kama kuna siasa ndio zinawakwamisha.
Kuna watu wa uchumi, Political science, vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.
Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?