Naona watu mnamchambua "hero" wa CHADEMA!!!
No wonder hivi sasa CHADEMA wanaishia kutiwa makonde na kuambulia kiti kimoja out of 43!!!
Mtu kama Mange hawezi kuwa influencer halafu ukatarajia kupata watu makini na matokeo yake chama kinaishia kuwa na wafuasi wapiga kelele ambao hawana physical political interaction yoyote zaidi ya Instagram ambako kura wala hazipigwi!!!
No wonder hivi sasa CHADEMA wanaishia kutiwa makonde na kuambulia kiti kimoja out of 43!!!
Mtu kama Mange hawezi kuwa influencer halafu ukatarajia kupata watu makini na matokeo yake chama kinaishia kuwa na wafuasi wapiga kelele ambao hawana physical political interaction yoyote zaidi ya Instagram ambako kura wala hazipigwi!!!