Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
kweli Tanzania zaidi ya uijuwavyo.
ni wapi huko mkuu?
Kumbe mambo ya mjini unayajua leo takuwepo huku kupumzisha kichwa karibu sana...takuwa na vijana wawili wa IFM.
Hapa mkuu nina wasiwasi umechemka Kagunguli ni kisiwa kweli? Umeacha Kunene, Bwiro, Kamasi na vinginevyo!Mafia ni moja ya visiwa vya Tanzania Bara, kuna visiwa vingi tu Tanzania Bara kama Ukara, Kamanga, Nansio, Katunguru, Uzinza, Kigamboni, Karumo, Kisiwa cha Juma, Nyamurutunguru, Izinga, Gana, Burubi. Muriti, Igalla, Namilembe, Kagunguli.
Mnyamahodzo aliyesema Kigamboni ni kisiwa si Ng'wanang'wa ni ritz.
unajua maana ya neno "ZANZBAR" ni mkusanyiko wa visiwa vidogo vidogo ikiwemo mafia, mombasa kenya.
Kuna Kilwa kisiwani, Songomnara, Songosongo, Mnazi..................Kuna kitu kilinijia katika akili, na nikaanza kutafakari suala hili. Nchi ya Tanzania ina Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara. Tanganyika haipo tena (Miaka 50 ya Tanzania Bara, Stuka). Sasa Mafia katika sherehe ile iliondolewa maana haipo bara. Labada sielewi maana ya bara. Lakini hii inanitia wasi kuhusu hili jina la Tanzania bara kuchukua jina ka Tanganyika. Kama mafia iko visiwani basi ipate kiti baraza la wawakilishi kule Tanzania Visiwani.
Neno Tanzania bara limeiondoa Mafia?
Mafia iko mkoa wa Pwani katika nchi ya Tanganyika. visiwa viko vingi tu Tanganyika hata Nyakatombe ni kisiwa vile vile.
Kuna kitu kilinijia katika akili, na nikaanza kutafakari suala hili. Nchi ya Tanzania ina Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara. Tanganyika haipo tena (Miaka 50 ya Tanzania Bara, Stuka). Sasa Mafia katika sherehe ile iliondolewa maana haipo bara. Labada sielewi maana ya bara. Lakini hii inanitia wasi kuhusu hili jina la Tanzania bara kuchukua jina ka Tanganyika. Kama mafia iko visiwani basi ipate kiti baraza la wawakilishi kule Tanzania Visiwani.
Neno Tanzania bara limeiondoa Mafia?
Ikiwa tafsiri ya Bara na visiwani ndio hivyo basi hata kwetu Ukerewe sii bara..Tupewe nchi vie vile..Kuna kitu kilinijia katika akili, na nikaanza kutafakari suala hili. Nchi ya Tanzania ina Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara. Tanganyika haipo tena (Miaka 50 ya Tanzania Bara, Stuka). Sasa Mafia katika sherehe ile iliondolewa maana haipo bara. Labada sielewi maana ya bara. Lakini hii inanitia wasi kuhusu hili jina la Tanzania bara kuchukua jina ka Tanganyika. Kama mafia iko visiwani basi ipate kiti baraza la wawakilishi kule Tanzania Visiwani.
Neno Tanzania bara limeiondoa Mafia?
Ikiwa tafsiri ya Bara na visiwani ndio hivyo basi hata kwetu Ukerewe sii bara..Tupewe nchi vie vile..
Hawa ndio wasomi wetu.Yes,Tanzania bila wasomi inawezekana.