Kuna kitu kilinijia katika akili, na nikaanza kutafakari suala hili. Nchi ya Tanzania ina Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara. Tanganyika haipo tena (Miaka 50 ya Tanzania Bara, Stuka). Sasa Mafia katika sherehe ile iliondolewa maana haipo bara. Labada sielewi maana ya bara. Lakini hii inanitia wasi kuhusu hili jina la Tanzania bara kuchukua jina ka Tanganyika. Kama mafia iko visiwani basi ipate kiti baraza la wawakilishi kule Tanzania Visiwani.
Neno Tanzania bara limeiondoa Mafia?
ritz! Kazi kweli!Mafia ni moja ya visiwa vya Tanzania Bara, kuna visiwa vingi tu Tanzania Bara kama Ukara, Kamanga, Nansio, Katunguru, Uzinza, Kigamboni, Karumo, Kisiwa cha Juma, Nyamurutunguru, Izinga, Gana, Burubi. Muriti, Igalla, Namilembe, Kagunguli.
Mkuu Kimbunga huyo jamaa saizi ni tajiri mkubwa sana Mwanza (Mzungu wa Samaki) naona saizi kaacha mambo yake karudi kwa mungu, mkuu wangu na wewe sio mchezo kila nilipo gusa na wewe umegusa:yo:Duh mkuu ritz hakika utakuwa unawajua wababe wa huko visiwani ambao huwa wanawazamisha watu ziwani na kujichukulia nyavu na makokoro! Sijui kama unamjua mtu mmoja aliyekuwa mbabe sana huko akiitwa Kitana. Bila shaka umewekeza huko manake bila hivyo ni vigumu kuvijua visiwa hivyo. Safi sana.
Bw Sanga, Mafia iko Njombe!
Tena mkoa mpya
Lakini naona kama umechapiachapia visiwa vyenyewe - Nansio na Muriti ndio visiwa gani hivyo?. Haya bana basi Bundya na Kilwa kisiwani nazo Visiwani..Mkuu Kimbunga huyo jamaa saizi ni tajiri mkubwa sana Mwanza (Mzungu wa Samaki) naona saizi kaacha mambo yake karudi kwa mungu, mkuu wangu na wewe sio mchezo kila nilipo gusa na wewe umegusa:yo:
ritz namjua jamaa ni tajiri pale MZ lakini alianzia huko visiwani. Mkuu nilipiga kambi huko kisiwa cha Lyakanyasi na mara nyingine kisiwa cha Juma! Mkuu hata mimi naona nilipokanyaga nawe umetia guu! Kuanzia mitaa ya K'oo hadi Holiday out.Tupo pamoja mkuu ila sikutegemea kabisa kwamba ungekuwa unavijua visiwani vya kule ziwani.Mkuu Kimbunga huyo jamaa saizi ni tajiri mkubwa sana Mwanza (Mzungu wa Samaki) naona saizi kaacha mambo yake karudi kwa mungu, mkuu wangu na wewe sio mchezo kila nilipo gusa na wewe umegusa:yo:
mkuu hakuna information inayokuja bila kutafuta!definetly sio kwamba hawa mawaziri wanashindwa ..wanaweza tatizo linakuwa ni informations za kutosha kuhusu hizi sehemu hawana ...ila kusema ukweli nimeshtuka
ritz namjua jamaa ni tajiri pale MZ lakini alianzia huko visiwani. Mkuu nilipiga kambi huko kisiwa cha Lyakanyasi na mara nyingine kisiwa cha Juma! Mkuu hata mimi naona nilipokanyaga nawe umetia guu! Kuanzia mitaa ya K'oo hadi Holiday out.Tupo pamoja mkuu ila sikutegemea kabisa kwamba ungekuwa unavijua visiwani vya kule ziwani.
Embu nijuze kuhusu gharama ya kupelekwa huko na hiyo boat kwa mtu mmoja!! Kuna nn huko? Kuangalia tu jinsi sehemu ya Ardhi ilivyozungukwa na maji au?
Mkuu Kimbunga miaka ya nyuma kidogo tumepiga kazi kule Mwanza, nadhani utakuwa hunamjua Mgiriki mmoja alikuwa na kiwanda cha Samaki kinaitwa Nile Pech.
Naona saizi kabaki yule Muhindi Murtaza wa Vicfish. Ambae wale samaki wa Magufuli walikuwa wanahifadhiwa kwenye kiwanda chake cha Bahari beach...mkuu mambo ni mengi sana.
Okay Mkuu ritz nimekupata sasa. Nawajua hao watu.Ndio waanzilishi wa kuwalisha wananchi wa kanda ya ziwa vile vichwa vya samaki na mifupa maarufu kama Mapanki hadi ikaja ile picha ya Darwin's Nightmare!!
kingine kinaitwa mbudya,kipo pwani ya dar-es-salaam
ha haa haaa! Mkuu Kimbunga umenichekesha sana nakumbuka zamani yale mapanki yalikuwa yanatupwa kule maeneo ya Igoma kwenye dampo hali ilivyokuwa ngumu yakageuka mboga.
Mafia ni moja ya visiwa vya Tanzania Bara, kuna visiwa vingi tu Tanzania Bara kama Ukara, Kamanga, Nansio, Katunguru, Uzinza, Kigamboni, Karumo, Kisiwa cha Juma, Nyamurutunguru, Izinga, Gana, Burubi. Muriti, Igalla, Namilembe, Kagunguli.
Bilashaka hujui unachoandika, maana naona hujui hata maana ya kisiwaMafia ni moja ya visiwa vya Tanzania Bara, kuna visiwa vingi tu Tanzania Bara kama Ukara, Kamanga, Nansio, Katunguru, Uzinza, Kigamboni, Karumo, Kisiwa cha Juma, Nyamurutunguru, Izinga, Gana, Burubi. Muriti, Igalla, Namilembe, Kagunguli.