Hivi mafanikio yanategemea wakati wa Mungu ukifika

Mapensho star

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,052
4,075
Wiki iliyopita nilimtembelea ndugu yangu mmoja ana kijana wake age 20s ni muda mrefu sijawahi kumuona akifanya shughuli yoyote wala kusikia akifanya kazi yoyote

Mama yake ndio namuona akipambana na vibarua vya kufanya usafi huko ili mkono uende kinywani yule kijana anategemea kidogo anachochuma mama yake kula yake hapo nyumbani mwaka unaanza mpaka unaisha anamtegemea mama

Siku ile ilibidi nimuulize kwanini hajishughulishi kutafuta chochote maneno aliyoniambia niliona pia ni msingi kwa kijana yule kijana wa miaka 28

Alisema ata ukijituma kufanya kazi kama wakati wa Mungu haujafika hauwezi kufanikiwa

Yeye haoni sababu ya kujiangaisha na maisha wala kujipa stress mana ata akipata mali maisha mafupi wapo watakao kuja kufuja mali zake

Haya ni mawazo ya kijana huyu je yupo sahihi
 
MAISHA ni Kama mashindano na sio kila Mtu anayeshiriki anahitaji Ubingwa wapo ambao wanashiriki kwa lengo la timu zao zisishuke Daraja na sio Kupata Ubingwa


Ukielewa hili Jambo utaelewa kwanini Mtu mwenye PESA nyingi anakua BAHILI katika matumizi na mtu hoe hae anahonga hela yote


Life is based on individual's parception
 
Kijana anamsingizia Mungu...

Aache uvivu...

Mithali 24:34
Hivyo umasikini huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha
 
TO b honest n swali fikirishi sana hili..
Maana kuna ukinzani siku zote between faith and reality...
Hapa kwanza subr niweke kigoda ningojee michano ya wataalam
 
Mafanikio yanashikwa na wachache(machoni dhhiri na mafichon,giza) mungu ndiye mtendaj itfka wkt atapgania tonge lake najua anavyofeel coz nayapitia yaan bongo kama unaish uswaili na umesoma n shda.
 
Formula ni ndogo.
Mwenyewe kutoa Ataongezewa.
Asiyetoa naye hapati.
Tafuta Kisha toa.
Mfano Azam analisha familia ngapi na wewe unalisha familia ngapi.,fanya mahesabu.
 
Wiki iliyopita nilimtembelea ndugu yangu mmoja ana kijana wake age 20s ni muda mrefu sijawahi kumuona akifanya shughuli yoyote wala kusikia akifanya kazi yoyote

Mama yake ndio namuona akipambana na vibarua vya kufanya usafi huko ili mkono uende kinywani yule kijana anategemea kidogo anachochuma mama yake kula yake hapo nyumbani mwaka unaanza mpaka unaisha anamtegemea mama

Siku ile ilibidi nimuulize kwanini hajishughulishi kutafuta chochote maneno aliyoniambia niliona pia ni msingi kwa kijana yule kijana wa miaka 28

Alisema ata ukijituma kufanya kazi kama wakati wa Mungu haujafika hauwezi kufanikiwa

Yeye haoni sababu ya kujiangaisha na maisha wala kujipa stress mana ata akipata mali maisha mafupi wapo watakao kuja kufuja mali zake

Haya ni mawazo ya kijana huyu je yupo sahihi
We should kill God
 
Wiki iliyopita nilimtembelea ndugu yangu mmoja ana kijana wake age 20s ni muda mrefu sijawahi kumuona akifanya shughuli yoyote wala kusikia akifanya kazi yoyote

Mama yake ndio namuona akipambana na vibarua vya kufanya usafi huko ili mkono uende kinywani yule kijana anategemea kidogo anachochuma mama yake kula yake hapo nyumbani mwaka unaanza mpaka unaisha anamtegemea mama

Siku ile ilibidi nimuulize kwanini hajishughulishi kutafuta chochote maneno aliyoniambia niliona pia ni msingi kwa kijana yule kijana wa miaka 28

Alisema ata ukijituma kufanya kazi kama wakati wa Mungu haujafika hauwezi kufanikiwa

Yeye haoni sababu ya kujiangaisha na maisha wala kujipa stress mana ata akipata mali maisha mafupi wapo watakao kuja kufuja mali zake

Haya ni mawazo ya kijana huyu je yupo sahihi
Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha imani isiyozingatia matumizi ya akili na ujinga, umasikini na maradhi. Yafaa kijana aelewe kwamba kazi ni kipimo cha utu na siyo tendo la kiroho.
 
Ni sawa wakati wa Mungu ni wakati sahihi ila inabdi ajishughulishe au awe anaset mitego siku Mungu akiamua kumpa atampa awe ata anabet basi maana siku Mungu anakupa akupigii simu

wala hujui unashangaa tu ktk mambo yako unapiga mshindo kuna jamaa uyo nae ndo kauli yake ila anabet anatoa mkeka adi 1bl atengeneza mmoja alafu anaupiga kopy mara 10 total 1b or 2bl siku alikosa timu moja tu nikasema huyu ipo siku yake
 
Mafanikio ni kujituma kwako.

Kama unahisi unaweza kufanya biashara fanya kwa uadilifu utafanikiwa.

kama unahona unaweza kufanya vizuri kazi za watu fanya na kusanya vyako vilivyo halali na utafanikiwa.

Mungu yupo busy kwasasa kuna vita ukraine na gaza huko bila kusahau congo ana list ndefu ya maombi ya kufanyia kazi.
 
Ana hoja ya msingi.

Hata hiyo hali ya kutojisikia kujituma ni mpango wa Mungu yeye aww hivyo,siku ikifika ataamka hana uzito hata kidogo.
 
Wiki iliyopita nilimtembelea ndugu yangu mmoja ana kijana wake age 20s ni muda mrefu sijawahi kumuona akifanya shughuli yoyote wala kusikia akifanya kazi yoyote

Mama yake ndio namuona akipambana na vibarua vya kufanya usafi huko ili mkono uende kinywani yule kijana anategemea kidogo anachochuma mama yake kula yake hapo nyumbani mwaka unaanza mpaka unaisha anamtegemea mama

Siku ile ilibidi nimuulize kwanini hajishughulishi kutafuta chochote maneno aliyoniambia niliona pia ni msingi kwa kijana yule kijana wa miaka 28

Alisema ata ukijituma kufanya kazi kama wakati wa Mungu haujafika hauwezi kufanikiwa

Yeye haoni sababu ya kujiangaisha na maisha wala kujipa stress mana ata akipata mali maisha mafupi wapo watakao kuja kufuja mali zake

Haya ni mawazo ya kijana huyu je yupo sahihi
Fanya kazi kwa bidii acha kuwaza vitu vya kufikirika
 
Back
Top Bottom