Hivi maana halisi ya ndoa ni nini!

Hivi maana halisi ya ndoa ni nini!

Ndio maana unaambiwa usioe tu mradi umeoa...kwa watu ambao ni watata km mm unaweza kumfanya binti wa watu ajutie ndoa


Mungu anifanyie wepesi
 
Taasisi hii inaanza na watu wawili tu,,,,na baadae wanaonezeka,,, ukishindwa ku imanage,,,, basi hufai hata kuwa mjumbe wa serikali ya kijiji,,, maana kijiji kina kaya zaidi ya moja,,,
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
mwanamme mmpende mkeo na mke mtii mumeo.where there is luv kuna peace.Ombeanen, kueni na hofu ya Mungu sameheaneni,chukulianeni madhaifu maana hakuna mkamilifu even one.Nina ndoa na haya tunapractice i thanx God peace ipo so naenjoy.
 
Pamoja ya yyote NDOA ni kujamiana na mbili kupata watoto basi na wala sio kuchangia maisha hata bila kuoa maisha hapo tu.
 
Ndo ni ngum na ina changamoto nyingi,, inakuta unatimiza wajibu wako ila mwenzio hatimiz na nisikio la kufa labda upate anayeelewa na kutimiza wajibu wake
 
Pamoja ya yyote NDOA ni kujamiana na mbili kupata watoto basi na wala sio kuchangia maisha hata bila kuoa maisha hapo tu.
Kiukweli ww ni kama mm ila waliopitia wanasema siyo hivyo Mkuu!
 
Maana ya ndoa ni hii. NDOA NDOANA... Oops.
 
Ndoa hakuna bali ni ujanja ujanja kutimiza wajibu, Huwezi tosheka ndani ya ndoa kuna mtu ukionja utakumbuka uliyenaye sio kitu chochote, Wengi huishia kuchepuka ndoa kwa kifupi ni usanii tu Just watu kuonekana wana family, Lakini nje ya ndoa kuna vitu vitamu na vinajua mambo, ndani kuna muda mnachokana
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Hii mbona easy!kuuliza mom&dad[emoji16][emoji16]watakachosema usiongeze wala kupunguza ndiyo ndoa hiyo.
 
Ndoa maana yake ni mapatamo ya mume na mke kuishi pamoja ili wafanye ngono pamoja, kupata watoto ni matokeo, pia wote wawili kukubali kufuata maamrisho ya mwenyezi mungu. Ndoa itadumj
 
Aliyesema ndoa ndo vita pekee ambayo maadui wanashea kila kitu hakukosea.
Hivi nyie ambao ndoa zenu zina mhili mzuri na zinadumu huwa mnatumia mbinu gani mnisaidie na mimi mwenzenu!
Mkuu ndoa yako inakaribia expire date nn? Mbona hvyooo!!?

Ok sio tatizo ngoja nikupe shule:
1.Utambue kuwa ndoa inamuunganiko wa wenye dhambi wawili wanaoishi kwa neema ya Mungu

2. Hujaoa au kuolewa na malaika. Ni mwanadamu huyo. Na kama hujui sifa ya mwanadamu ni kuwa ana udhaifu mkubwa ndo maana hata Mungu alipotupa sheria bado tulishindwa kumoendeza akaamua kutuokoa bure kwa kumuamini Bwana Yesu

3. Kanuni za ndoa zipo kwenye kitabu cha waefeso sura ya 6 kasome utaona wanaume wameagizwa kuwapenda wake zao kama Kristo alivyokuoenda akajitoa msalabani sadaka. Kadhalika wanawake wameagizwa kuwatii waume zao katika mambo yote kama kumtii Kristo. Hapa kuna tatizo au changamoto kubwa kwenye utekelezaji. mwanaume hujaambiwa mpendw mkeo ati akiwa mtiifu kwako NO!! Unatakiwa umpende kwakuwa umeagizwa hivyo na Mungu so utakua unampendeza Mungu kutekeleza agizo lako. Vivyohivyo wanawake wanatakiwa kuwa watiifu sana kwa waume zao si bse wanapendwa NO bse wanamtii Mungu kwakile alichoagiza wafanye.

Mwisho Biblia hutufundisha kanuni uhii. "atafutaye huona" sasa ukijifanya unapenda kutafuta mabaya au madhaifu ya mwenzako aisee kwa msaada wa shetani utayaonabyabkutosha na kutisha. Achana na tabia hiyo.
 
Back
Top Bottom