Hivi Lissu ana dini kweli?

Hivi Lissu ana dini kweli?

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”

Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

Huyo hapo asiyeamini Mungu
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”

Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.


Ujumbe wa Lissu ni kuikejeli PHD ya rais lakini akashindwa kuitenganisha hiyo kejeli na uwepo wa Mungu.

Ni siasa ambazo mwisho wake ni siku ya uchaguzi.
 
Kwa hiyo Corona inatibiwa kwa prayers?
Jambo la msingi ni kuwa corona ilikuwepo Tanzania na sasa haipo.

Ukisoma maelezo yangu yote na ku digest kidogo tu na kutumia data utauona ukweli.

Lakini kama mahaba yako kwa Lissu yamekupofusha basi endelea kuamini corona ipo huku mkiendelea kusanyika pamoja makundi makubwa bila barakoa na bado hamuugui corona.
 
Kuna mtu aliwahi niambia Mungu ndiye mwanasayansi wa kwanza,

Mfano mdogo tu ni namna ile sadaka ya Eliya ilivyoteketezwa kwa moto wakati sadaka ili miminiwa maji,

Akadai nguvu za aina ile ni za kinyuklia , hehe kuna mambo unaweza sema ni kamba ila ni vitu vilivyo juu ya uwezo wa kawaida wa kifikiri.
Ukisoma thread hii ndiyo unaona na kuogopa ni kiasi gani Watanzania, labda ni Waafrika wengi wako nyuma duniani. Nimeishi ma bara yote duniani lakini wanafikiria Waafrika iaogopesha sana. Education haijiasadia kwa kiwango kikubwa mno. Totally abuse of God.
 
Mkuu Mr Lyanga hili tusi ulilomtukana mama yake jamaa lifute aisee. Hua natetemeka nikisikia mama yeyote duniani akitukanwa.
Mama yako mama yangu mama yake jamaa mama yake yule ni watu wa muhimu sana katika hii dunia. Hawafai kutukanwa aisee.
Niko chini ya miguu yako nakuomba ulifute hilo.
Hilo la mkund.u wa jamaa liwache tena muongezee na mengine na sisi wababa tutukane tu lakini wamama zetu tuwaache aisee. Please [emoji120]
Sawa [emoji120]
 
Jambo la msingi ni kuwa corona ilikuwepo Tanzania na sasa haipo.

Ukisoma maelezo yangu yote na ku digest kidogo tu na kutumia data utauona ukweli.

Lakini kama mahaba yako kwa Lissu yamekupofusha basi endelea kuamini corona ipo huku mkiendelea kusanyika pamoja makundi makubwa bila barakoa na bado hamuugui corona.
Unamiss point yangu. Corona haipo nchi za afrika kwa waafrika. Kusema korona imeondolewa kwa prayers ni famba.
Hapa nazungumzia afya. Lissu na Magu hawahusiki
 
Anakubali kwamba alipona kwa uwezo wa Mungu baada ya shambulio dhidi yake la risasi 18, ila anapinga uwezo wa Mungu juu ya kuponya corona

Na wafuasi wake wanamsikiliza na kushangilia
Mkuu ulinyimwa kabisa akili za kupambanua mambo?
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga wako!
 
Mkuu ulinyimwa kabisa akili za kupambanua mambo?
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga wako!

lengo la kuficha ujinga iwe ni kitu gani???

matokeo yake badala wewe mwerevu unielimishe.....unawanga shimo hadharani.
 
Unamiss point yangu. Corona haipo nchi za afrika kwa waafrika. Kusema korona imeondolewa kwa prayers ni famba.
Hapa nazungumzia afya. Lissu na Magu hawahusiki
Kama prayers hazitusaidii basi kusali kwetu ni bure.

Lakini masuala ya imani hatulazimishani. Ila mimi ninasadiki kuwa Mungu hujibu maombi ya binadamu kadiri ya mapenzi yake na ziko shuhuda nyingi tu hata katika mambo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya watu waliomuomba Mungu jambo na wakafanikiwa. Wewe huamini katika Mungu kutuponya na corona lakini pengine unaamini katika waganga wa kienyeji na nguvu za uchawi.

Kuhusu corona kuwepo au kutowepo Africa fuatilia data za WHO utauona ukweli.
 
Hatari sana
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”

Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

View attachment 1612390

 
Huyu dogo ni tapeli wa kisiasa siku ya kupiga kura tunamnyoosha
Kanisani huwa anaenda kufanya nini kama anaamini Mungu hawezi kusikiliza maombi yetu?
Kwani yeye isingekuwa Mungu kumponya leo hii angekuwa hai?

Sisi Wakatoliki ( Lissu akiwemo) katika kila misa baada ya mahubiri na kurudia kukiri imani yetu hufuata maombi ambapo waamini humuomba Mungu mambo mbalimbali ikiwemo kutuponya na magonjwa na majanga mbalimbali nk. Sasa yeye inaonyesha kuna mambo hakubaliani nayo. Mimi nadhani pengine aliishaacha kwenda kanisani ila sababu ya uchaguzi imebidi aende kanisani kama geresha ili wakristo wasimstukie; baada ya uchaguzi ataacha kwenda. Ni kama vile huko nyuma alipokuwa anamtukana Nyerere lakini kwa ajili ya kugombea urais akaanza kumsifia Nyerere ili watanzania wampe kura.

Watanzania wakiingia mkenge wampe kura watajuta.
 
Kura za ubunge na uraisi zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa jimboni, hazitahesabiwa kwenye vituo vya kupigia kura

Kura za udiwani zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa makao makuu ya kata (katani)

Wapinzani hampati kitu.

Kuweni makini
Siyo kweli, mimi nasimamia uchaguzi.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”

Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

View attachment 1612390

Haki ndio jambo la msingi sasaivi na sio vinginevyo.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”

Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

View attachment 1612390

Hivi aliyeagiza Lissu auwawe kwa kupigwa risasi ana dini?
 
Kama prayers hazitusaidii basi kusali kwetu ni bure.

Lakini masuala ya imani hatulazimishani. Ila mimi ninasadiki kuwa Mungu hujibu maombi ya binadamu kadiri ya mapenzi yake na ziko shuhuda nyingi tu hata katika mambo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya watu waliomuomba Mungu jambo na wakafanikiwa. Wewe huamini katika Mungu kutuponya na corona lakini pengine unaamini katika waganga wa kienyeji na nguvu za uchawi.

Kuhusu corona kuwepo au kutowepo Africa fuatilia data za WHO utauona ukweli.
Mimi ni muumini sana wa dini yangu. Namuomba Mungu kila siku. Na juhudi pia nafanya. Simuombi tu Mungu pekee. Lazima na juhudi binafsi niweke. Hii ni universal principal. Nachukua CV yangu shule nilipasua kazi experience kama yote napeleka sehemu wanataka mtu aliesomea mambo zangu. Namuomba Mungu niitwe interview mara paaap. Naitwa. Napambana. Narudi home namuomba Mungu nipite mara paaap. Naitwa kuanza kazi. Sasa wewe kaa home umeishia lasaba, CV hujapeleka eti unashindana na mimi uitwe wewe just because umekesha usiku na mchana mwezi mzima kuomba Mungu uitwe wewe mi nisiitwe. Utakufa huku unamuomba Mungu mimi huyoo na juhudi zangu nimepasua.
Huu mfano unauona wa kitoto lkn uhamishie kwa korona sasa. Hakuna korona inayoondolewa kwa kuomba Mungu Mzee. Dunia nzima Tanzania tu ndio wanaomjua Mungu??!!! Com on!
Ni sawa marekani waseme waliomba Mungu malaria hamna utawaelewa.

Umekazana na WHO ...hawa jamaa ni famba achana nao. Huyo role model wako tu unaemsifia hapa Magu amewaweka pembeni wasemayo hawa leo hii wewe unawatumia km reference.
WHO ni wachumia tumbo km wachumia tumbo wengine. Fuatilia janga lilivoanza angalia response yao. Mara mafua tu mara nini. Mara nothing to worry about mara eeeh. Mara afrika watakufa km vibudu haya ni kweli tumekufa km walivyo predict? Achana na wachumia tumbo WHO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom