Hivi Lissu ana dini kweli?

Hivi Lissu ana dini kweli?

Wewe unauliza kama nani? Mind your own business ya Ngoswe muachia NGOSWE. Mwenye dini huyu hapa.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.


Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

View attachment 1611348
 
KURA ZA UBUNGE NA URAISI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA JIMBONI, HAZITAHESABIWA KWENYE VITUO VYA KUPIGIA KURA

KURA ZA UDIWANI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA MAKAO MAKUU YA KATA (KATANI)

WAPINZANI HAMPATI KITU.

KUWENI MAKINI
Hiyo haipo kura zinahesabiwa vituoni otherwise hakuna uchaguzi tarehe 28 tutafanya fujo kweli
 
Magufuli ni mkristo ,Mkatoliki kanisani anaenda kufanya ni nini na damu za watu aliso mwaga?
1603649629588.png
 
Tangu Lisu aweke nguvu katika kuwapambania wapenzi wa jinsia mmoja nikajua Lisu anashida kichwani Ila sikutegemea kwamba anaweza kukufuru kwa kiwango hicho.
Barua kutoka serikali ya CHADEMA hiyo apo [emoji1427][emoji1427][emoji1427]
IMG_20201018_143119.jpg
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
yeye na wafuasi wake wote ni wagonjwa wa akili na tuliishakubalina hilo.

anakubali kwamba alipona kwa uwezo wa Mungu baada ya shambulio thidi yake la risasi 18,ila anapinga uwezo wa Mungu juu ya kuponya corona.

na wafuasi wake wanamsikiliza na kushangilia.
Ficha ujinga,Nani amewahi kupona risasi 16???
 
Mungu yupi aliyeiondoa Corona ? Kwa sababu kila mtu aliomba kwa mungu wake!
 
Marekani kura wanapigaje? Hujasikia kura za mapema zimepigwa tena kwa posta?

Kwa katiba ya Kenya si rahisi kudanganya kuwa kuna corona wakati haipo. Kenya ipo.
Hiyo ya Marekani ni hivi wako more advanced ndio maana posta.

Sisi kama kweli korona ingekuwepo social distancing. Zipo nchi pamoja na korona wamefanya uchaguzi.
So in short social distance. Narudia HAKUNA ALIEAHIRISHA UCHAGUZI DUMIANI SABABU YA CORONA

Kama mpaka leo huamini kenya uganda Rwanda ilikua ni usanii baasi mkuu umeshinda. Mpaka pesa za corona wamezitafuna wanatafutana kwa tochi. Baada ya kula pesa Uhuru anampigia Magu na sisi tunaomba kama nyie mtusaidie na nyie kuomba. Pathetic.
 
mpaka sasa anaeamini kwamba lissu atakua Rais wa nchii hii,inabidi apimwe akili
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.

Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.

Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na hana muda wa kuhangaika na wajinga.

“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.

Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”

Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.

Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.

View attachment 1611348
Wewe ni Mmoja ya Wajinga na Wapumbavu Lissu aliowasema
 
Mbona hao unaowaona we we kuwa wanadini wanatukana matusi tu jukwaani au hao unajifanya huwaoni. Kila MTU ana imani yake we hangaika na yako, wakulima, wafanyabiashara na wafanya kazi pamoja na wahanga wa mikopo loan board kura kwa TAL.
 
Hiyo ya Marekani ni hivi wako more advanced ndio maana posta.
Sisi kama kweli korona ingekuwepo social distancing. Zipo nchi pamoja na korona wamefanya uchaguzi.
So in short social distance. Narudia HAKUNA ALIEAHIRISHA UCHAGUZI DUMIANI SABABU YA CORONA

Kama mpaka leo huamini kenya uganda Rwanda ilikua ni usanii baasi mkuu umeshinda. Mpaka pesa za corona wamezitafuna wanatafutana kwa tochi. Baada ya kula pesa Uhuru anampigia Magu na sisi tunaomba kama nyie mtusaidie na nyie kuomba. Pathetic.
Fanya analysis kidogo tu kwa data. Hata hapa Tanzania mwanzoni corona ilikuwepo na both serikali na wapinzani walikuwa wanatoa data za vifo na wagonjwa ila zilikuwa zinatofautiana za wapinzani zilikuwa juu. Ilifikia hatua hata picha za waliokufa kwa corona na hata za madai ya mazishi kufanyika usiku zilitolewa twitter na wapinzani; leo hii huko twtter wapinzani hawatoi data hata za kughushi, maana yake huo ni uthibitiisho corona ilikuwepo na sasa haipo.
 
Fanya analysis kidogo tu kwa data. Hata hapa Tanzania mwanzoni corona ilikuwepo na both serikali na wapinzani walikuwa wanatoa data za vifo na wagonjwa ila zilikuwa zinatofautiana za wapinzani zilikuwa juu. Ilifikia hatua hata picha za waliokufa kwa corona na hata za madai ya mazishi kufanyika usiku zilitolewa twitter na wapinzani; leo hii huko twtter wapinzani hawatoi data hata za kughushi, maana yake huo ni uthibitiisho corona ilikuwepo na sasa haipo.
Kwa hiyo Corona inatibiwa kwa prayers?
 
Wewe akili zako umezipimia wapi mpaka uone wengine hawana akili?

Hicho kipimo kiweke hapa tukione!

Utaona is the matter of your own stupid opinion like the rest of us!

Kwahiyo urais ni wa mwanadamu mmoja tu duniani hapa anaeitwa Magufuli na sio mtu mwingine?

Urais sio ubalozi wa nyumba kumi,true,sasa sijui unasema hivyo sababu kati ya watu milioni 60 nchi hii hakuna mwanadamu anaeweza?Ni mali ya Magufuli pekee yake?Acha utoto.

Unawaza mambo ya mkunduni maana yamekujaa ubongoni na unafanya wewe,ni vizuri ukawa wazi,unachofanya wewe usipende sukumizia wengine...jielezee wewe na your own stupid gay experiences,not others tusiohusika na your shit showing.

Unamtukana mama yangu inaonesha you are a coward,unatukana mtu asiekua hapa kujitetea,nitukane mimi kama mimi....unatukana mtu asiekuwapo hapa ni upumbavu!

Maarifa yanatafutwa wapi?Both darasani na uraiani...ya darasani yalikushinda..mimi nina ya darasani na ya uraiani,wewe una ya uraiani tu,bado upo handcapped!
Umeandika li-waraka lirefu alafu ni pointless tu, sijamaliza hata kulisoma maana hakuna cha maana ulichoandika nimeamua niishie njiani kwa sababu huna hoja ya msingi iliyosimama
 
😂😂😂 mbona povu linakutoka kama umemwagiwa manii mkunduni.
Urais siyo ubalozi wa nyumba kumi matako ya mama ako wewe
Wewe unadhani kupata 100 darasani ndiyo kipimo cha akili.
Tafta maarifa usitafte vyeti mbululaa wewe
Mkuu Mr Lyanga hili tusi ulilomtukana mama yake jamaa lifute aisee. Hua natetemeka nikisikia mama yeyote duniani akitukanwa.
Mama yako mama yangu mama yake jamaa mama yake yule ni watu wa muhimu sana katika hii dunia. Hawafai kutukanwa aisee.
Niko chini ya miguu yako nakuomba ulifute hilo.
Hilo la mkund.u wa jamaa liwache tena muongezee na mengine na sisi wababa tutukane tu lakini wamama zetu tuwaache aisee. Please 🙏
 
Washabiki wa CCM mnaanzisha mada nyingi kuhusu Tundu Lissu kuliko hata watu wa Chadema wenyewe. Hii inaashiria kwamba soon mtakuwa wapinzani.
 
Tundu Lissu ni wa kuonewa huruma. Majanga aliyokutana nayo ni makubwa mno haiwezekani akili ikaweza kubakia salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom