Hivi Laana ni nini?

Mshua

Yaani sentensi yangu ya pili nimeikataa kabisa ile definition ya kutoka sentensi yangu ya kwanza.Definition yangu ni very abstract,ni hypothetical ambapo kiuhalisia si kweli...

Unachokisema ni sawa kabisa.Ni ishu very subjective,na kitu kishakua subjective kinakua si halisi kabisa.

Laana ni kitu kisichokuwepo kiukweli...Ni hypothetical belief tu mkuu.

Yaani nakuelewa sana jembe!
Tuendelee kueleweshana mkuu, hii Laana haieleweki kabisa.
 
Tubu mapema ww na uombe msamaha haraka sana kwa ulie/ulio wakosea kabla kiama hakijabisha hodi mlangoni mwako.
Haishauriwi kulaani ila kwa wale watu wa Mungu wanaweza ila sio vzuri... kwa maana hakuna aliemkamilifu so ni bora kusamehe na kutenda mema zaidi...
Mungu pekee ndie anaepaswa kuhukumu!

Laana ipo na inafanya kazi vizuri tuu iwe unaamini au huamini.
 
Tubu mapema ww na uombe msamaha haraka sana kwa ulie/ulio wakosea kabla kiama hakijabisha hodi mlangoni mwako.
Haishauriwi kulaani ila kwa wale watu wa Mungu wanaweza ila sio vzuri... kwa maana hakuna aliemkamilifu so ni bora kusamehe na kutenda mema zaidi...
Mungu pekee ndie anaepaswa kuhukumu!

Laana ipo na inafanya kazi vizuri tuu iwe unaamini au huamini.
Laana ni nini?!ipo wapi na inafanyaje kazi
 
Kama uliwahi mdhulumu mtu basi na ww utalipwa kiaso hicho hicho ulichodhumu, inaweza kuwa sawa sawa na dhuluma uliyofanya au adhabu ikaja kwa njia nyingine.

NB:Laana inatoka kwa Mungu.
Hahaha laana ni adhabu?! Sasa kwanini inaitwa laana?!
 
Jamani eti laana ni nini?! Ni maombi au ni ni uchawi?! Huwa nasikia fulani kalaaniwa yule, usifanye hivyo utalaaniwa, usifanye hivyo utapata laana, utawala huu umelaanika, nakadharika. Laana ni nini?! Mtu aliyelaanika yukoje?! Nani hutoa au anauwezo wa kulaani?! Je laana ni ulizi/uchawi au maombi/dua mbaya kwa mtu, na je hizi laana pia hutolewa na mungu au ni mashetani au mizimu?! Nami naweza kumlaani mtu au nini vigezo vya kulaani na kulaaniwa?!

laana ni mtazamo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom