Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
OK, laana zote zinatoka kwa Mungu na sio watu tunakua tunajidanganya tu.Hawa wao walilaaniwa na mungu ?! Mbona watu humsingizia shetani ndiye mwenye kulaani watu na sio mungu?!
Na mara nyingi anaelaaniwa ni yule ambae atakua anatenda Dhabi ambazo zimezidi kiwango...
Kwa mfano kusema "hakuna Mungu" hii ni laana kwa huyo mtu ambayo atalaaniwa na huyo ambae anasema hayupo angali yupo.
Vipo vitu vitu duniani ambavyo vimelaaniwa na hata mtumiaji akiwemo.