stargirl
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 462
- 540
Toka mdogo nasikiaga uchawi ,ushirikina ,,mbona sijawahi shuhudia zaidi ya kusimuliwa na msimuliaji ukimuuliza nae hajaona alisimuliwa tu,,hivi inakuwaje haoa kuaminishwa vitu ambavyo hujawah kuviona,,
Matatizo ya hapa duniani yapo tu na ni yale yale lakin utasikia unaambiwa umechezewa,nyota yako imeibiwa au umerogwa kabisa,,,
Niseme tu hivi mi nisjachoka mambo ya kusimuliwa tu vitendo sioni hata hayo madini yenu nayo hivyo hivyoo ni story ,na ushabiki hakuna cha kumuona hata mtume mmoja akatuthibitishia kuwa hiv ni kweli
Hivi kungekuwa na uchawi ambavyo binadam hatupendanii sidhan kama ningepata hata muda wa kuandika huu uzi,,ningekua nisharogwa au kuuawa kabisa,,,
Tuache imani za kishirikina hazitusaidii kabisa,
Mpaka nimekua hapa sijawah ona nasimuliwaga tu ukiuliza ulikuwepo utajibiwa hapana ila ni kweli
Na nyie mnaoenda kwa waganga hizo pesa zenu bora mnywee bia mle na nyama ,mnaibiwa tu hata hamna akili kabisa
Mnaoenda wote kwa waganga mkapimwe
Matatizo ya hapa duniani yapo tu na ni yale yale lakin utasikia unaambiwa umechezewa,nyota yako imeibiwa au umerogwa kabisa,,,
Niseme tu hivi mi nisjachoka mambo ya kusimuliwa tu vitendo sioni hata hayo madini yenu nayo hivyo hivyoo ni story ,na ushabiki hakuna cha kumuona hata mtume mmoja akatuthibitishia kuwa hiv ni kweli
Hivi kungekuwa na uchawi ambavyo binadam hatupendanii sidhan kama ningepata hata muda wa kuandika huu uzi,,ningekua nisharogwa au kuuawa kabisa,,,
Tuache imani za kishirikina hazitusaidii kabisa,
Mpaka nimekua hapa sijawah ona nasimuliwaga tu ukiuliza ulikuwepo utajibiwa hapana ila ni kweli
Na nyie mnaoenda kwa waganga hizo pesa zenu bora mnywee bia mle na nyama ,mnaibiwa tu hata hamna akili kabisa
Mnaoenda wote kwa waganga mkapimwe