Hivi kweli tumefika huku??

Hivi kweli tumefika huku??

Chama cha Mabaharia na waomba mumtendee Haki huyo mwanaume Aliyekula hela za huyo dada na kujenga nyumba kisha aka muweka mwanamke mwingine

Pia mumpandishe cheo haraka sana. Anastahiki kupewa uenyekiti wa Kanda ya Tanzania mashariki
Naunga mkono hoja
 
Sijamaliza kusoma story yote ila nimebaini ni uwongo ,just tells za vijiweni
 
Anayo kwa nini asiwe nayo? Hapo huyo aliyejenga ana dhambi kwanza ya kuzini na mke wa mtu pili dhurma
Ni dhambi ndiyo ila ukumbuke mtu akitubu husamehewa. Jamaa tayari keshatoka kimaisha kiulaini kabisa bila jasho. Kazi anayo huyo aliyepanga chumba na sebule. Wanaume wadanganyifu hata wanawake pia na unapaswa kuwa makini. Alichofanyiwa huyo mwanamke ndicho alichokuwa anakitafuta wala asilalamike. Malipo ni hapa hapa duniani
 
Mijitu mimalaya hainaga aibu sasa ndio mambo gani ya kusimulia hayo
 
Chama cha Mabaharia na waomba mumtendee Haki huyo mwanaume Aliyekula hela za huyo dada na kujenga nyumba kisha aka muweka mwanamke mwingine

Pia mumpandishe cheo haraka sana. Anastahiki kupewa uenyekiti wa Kanda ya Tanzania mashariki
Dah...kuna tofauti kubwa sana kati ya MWANAUME na TAPELI...😎
 
Huyo dada anaonekana punguani.
Kwanza ujinga alioufanya kumpa mwanaume hela na pili kuhadithia story inayomvua nguo
 
Aise. .hata mimi niliwahi kuhisi kuwa wewe ni Ke. ... leo ulivyo ni quote hapa ndio nime hisi kuwa una jinsia ya kiume. .Baada ya kuniambia maneno hayo
Duuh kuna siku kidogo nikuzamie pm mzee baba
Nikaona comment yako nikaahirisha

Kumbe ni me!!!
Nlichoka
 
Mpumbavu sana huyo dada Narudia MPUMBAVU SANA


Na bado akatike hata miguu mjinga mmoja huyo.... Unachukua mkopo unampa hawara??? Eti akajenga fwack, amediriki kumdanganya mume kuchukua pesa zote kumpa mchepuko,. Haya leo kakosa ndoa kamjengea mwenzie nyumba kilaiiini kabisa mjinga kabisa huyo

Ndoa sio kitu cha kuchezea, kama alikuwa anajua mume hatokidhi haja zake kwanini alikubali kula kiapo cha ndoa mjinga huyo? Anafikiri ndoa ni kula wali maharagwe?

Hii story imeniharibia siku kabisaaaa
Zesh umepaniki
 
Aise. ...!!! Sababu haswaa iliyokupelekea kutaka kufanya hivyo ni nini?
Kuna siku ulihadithia kisa fulan cha mapenz
Nikajua ni ke
Nikasema yes ngoja nimzamie pm
Kusoma comment inayofuata umecoment kiume duh
Nikajipa muda
Nikakusoma tena oooh kumbe ni dume
Oyoyoyoyooooo nikasitisha safari
Ulikua umeweka avatar ya kike

Nlikua niingie cha kike
Seriously kabsaaa nlishakupangia namna ya kukupiga sound mzee baba

But sorry aise, duuh hizi ID fake shida Sana
 
Swali gumu nililojiuliza, jamaa aliyetumia pesa ya mwanamke huyu kujengea ana dhambi???
Naam ana hatia!! Nae atasalitiwa na mali aliyotoa kwa huyo mke wa mtu itapotea. Easy come easy go.
 
Back
Top Bottom