Inawezekana Kk,kuna siku nilikutana na dada fulani,sasa kupiga stori mbili tatu,akaanza kufunguka mambo yake na mahusiano mpk tutamshangaa mengine hata aibu kusimulia,unaweza hisi ni kichaa kumbe moyo unatafuta reliefSidhani kama kuna mwanamke mwenye kujiongelea yote hayo bado huenda huyo alowaambia zitakuwa kidogo chenga kichwani
Wait nitasema mdogo mdogo nianze na translation.Tehtehteh...
Sheria ya mahitaji haipo hivyo Karucee ... ukiwa na shida na pesa utatamani mwanaume walau apatikane akutimizie mahitaji yako.
Mahitaji ukishakuwa na uwezo wa kuyatimiza unawaza hapa nikipata mwanaume ninayempenda na akanipenda....ukishampata huyu unawaza hitaji lingine...
Kwenye maisha hivyo hivyo....ukiwa hauna uwezo wa kujilisha utafikiria utaweza lini kujilisha...ukilikamilisha hili linakuwa sio hitaji tena.
mpo binadamu mnaoweza kutoendeshwa na mahitaji ila wachache saana
Vunga mkuu kuwa mtazamaji tuuKuna hatari inataka kutokea hapa
Mwanamke kusimulia ndio salama yake mkuu ko wachukulieni hivyo hivyo sasa walivyo wajinga wanadhani kuna ndoa ambayo haina changamotoInawezekana Kk,kuna siku nilikutana na dada fulani,sasa kupiga stori mbili tatu,akaanza kufunguka mambo yake na mahusiano mpk tutamshangaa mengine hata aibu kusimulia,unaweza hisi ni kichaa kumbe moyo unatafuta relief
Na hapo ndipo logic ya kuoa mwanamke zaidi ya mmja inakuja maana hadi ukinai huyu hamu inakuja kwa mwingine na sharti mwanamke awe mzuri tofauti na hapo mtakinai na yeye hutomtimizia inavyotakiwaMhh,nadhani tatizo kubwa ni psychology tu,maana wengi wanashuhudia kuwa wakiwa na wake zao,wana-perfom very poor,ila wakikutana watu wapya wanawabagaza vibaya sana,(hapa nguvu zinatoka wapi ilhali wanakuwa bado na majukumu yale yale nyumbani?)
Nadhani tatizo ni kwamba wanakuwa wamezoeana kiasi kwamba kisaikolojia kila mmoja haoni chochote kipya kutoka kwa mwenzake,so wanafanya ilimradi wamefanya,na perfomance inakuwa dhaifu...
Yako ikoje Bosi? Itupie hapa kwa faida yetu sote Wadau tujifunze pa1 BosiStory ya huyo dada haitofautian na yangu- wanawake mungu awasaidie
Mwanamke akimpenda Mwanaume vizuri sana hata asipokuwa perfect kimapenzi lakini bado ana uwezo mkubwa sana kumuhamasisha kuwa vizuri kimahaba.Women can be so dumb when in love.
And that's why we almost always get caught when cheating.
If a man respects you as his woman, strives hard to provide for you, why can't you just be patient if he is not good in bed?
No man can cater to all your needs at the same time. He cannot be financially, emotionally and sexually at his peak all the time you are together.
No man is perfect.
Tunamshukuru kwa hilo sababu ungefeli sana ndugu.Mwanamke akimpenda Mwanaume vizuri sana hata asipokuwa perfect kimapenzi lakini bado ana uwezo mkubwa sana kumuhamasisha kuwa vizuri kimahaba.
Mke wangu ni mfano sahihi katika hili namshukuru sana Mungu kunipatia Mke sahihi.
Shetani ni roho chafu/mapepo so ikikuta mahali ambapo hakuna tabia njema na uhafifu wa maombi kiimani basi hujiingiza hapo hapo ili iweke makaziShetani anatumia watu ili ajidhihirishe. Shetani ni MTU mwovu
Sodoma na gomoraHahahaaaa,hatari gani tena hapo?
Nahunga mikono na miguu hoja...kuna Mzee mmoja hivi juzi tulikuwa naye kwenye daladala alisema "Mwanamke asingekuwa anazaa kwa uchungu, basi ni kiumbe hatari sana kuliko hata nyoka"Wanawake sio viumbe vinavyostahili kuwezeshwa,... Wakiwa na uwezo tu utajuta,.. Ni viumbe hatari kuliko simba. Mi napinga kbs kumwezesha mwanamke,.. Wana roho mbaya sana hawa viumbe
Uko sahihi sababu asili ya Mwanamke ni kupokea kama alivyoumbwa kimaumbile sehemu nyeti...Vibaya sana.... Kwanza nikisikia tu mwanamke kampa pesa mwanaume nachukia jumlisha huyo kachukua za mumewe kampa mchepuko wooooiiiiiii

Kisaikolojia mtu akishakuwa disturbed inawezekana kabisa... Na inakuwa ni namna ya kumueousha kuwa kichaa kabisa au kujinyonga,inamsaidia kiasi fulani kupata "relief" japo wengine tunakuwa tunamuona wa ajabu sana..
Punyeto si salama kabisa Mama, iliniathiri zaidi ya miaka 8.Tunamshukuru kwa hilo sababu ungefeli sana ndugu.
Psychology siyo jambo la ki-sport sport Mr, unaweza kutembea njiani ukiongea pekeyako ukiwagonga Watu ukiona uko sahihi bila kuwaomba misamahaBasi kwa kiasi fulani atakuwa ameshaathirika kwa kiasi fulani kichwani


Yako ikoje Bosi? Itupie hapa kwa faida yetu sote Wadau tujifunze pa1 Bosi