Hivi kweli tumefika huku??

Hivi kweli tumefika huku??

Nadhani wanapaswa kuwezeshwa positively,ili wasiwe kama hawa wengine wanaofanya mambo ya kipumbavu
Wanawake sio viumbe vinavyostahili kuwezeshwa,... Wakiwa na uwezo tu utajuta,.. Ni viumbe hatari kuliko simba. Mi napinga kbs kumwezesha mwanamke,.. Wana roho mbaya sana hawa viumbe
 
Women can be so dumb when in love.

And that's why we almost always get caught when cheating.

If a man respects you as his woman, strives hard to provide for you, why can't you just be patient if he is not good in bed?

No man can cater to all your needs at the same time. He cannot be financially, emotionally and sexually at his peak all the time you are together.

No man is perfect.
Tehtehteh...

Sheria ya mahitaji haipo hivyo Karucee ... ukiwa na shida na pesa utatamani mwanaume walau apatikane akutimizie mahitaji yako.

Mahitaji ukishakuwa na uwezo wa kuyatimiza unawaza hapa nikipata mwanaume ninayempenda na akanipenda....ukishampata huyu unawaza hitaji lingine...

Kwenye maisha hivyo hivyo....ukiwa hauna uwezo wa kujilisha utafikiria utaweza lini kujilisha...ukilikamilisha hili linakuwa sio hitaji tena.

mpo binadamu mnaoweza kutoendeshwa na mahitaji ila wachache saana
 
Mpumbavu sana huyo dada Narudia MPUMBAVU SANA


Na bado akatike hata miguu mjinga mmoja huyo.... Unachukua mkopo unampa hawara??? Eti akajenga fwack, amediriki kumdanganya mume kuchukua pesa zote kumpa mchepuko,. Haya leo kakosa ndoa kamjengea mwenzie nyumba kilaiiini kabisa mjinga kabisa huyo

Ndoa sio kitu cha kuchezea, kama alikuwa anajua mume hatokidhi haja zake kwanini alikubali kula kiapo cha ndoa mjinga huyo? Anafikiri ndoa ni kula wali maharagwe?

Hii story imeniharibia siku kabisaaaa
Relax baby sponsor....si kila kitu humu cha kuchukulia serious, zingine ni story tu za kutunga..
 
Kuna siku ulihadithia kisa fulan cha mapenz
Nikajua ni ke
Nikasema yes ngoja nimzamie pm
Kusoma comment inayofuata umecoment kiume duh
Nikajipa muda
Nikakusoma tena oooh kumbe ni dume
Oyoyoyoyooooo nikasitisha safari
Ulikua umeweka avatar ya kike

Nlikua niingie cha kike
Seriously kabsaaa nlishakupangia namna ya kukupiga sound mzee baba

But sorry aise, duuh hizi ID fake shida Sana
Duh hatari 🔥 fire
 
Duuh kuna siku kidogo nikuzamie pm mzee baba
Nikaona comment yako nikaahirisha

Kumbe ni me!!!
Nlichoka
Aise. .hata mimi niliwahi kuhisi kuwa wewe ni Ke. ... leo ulivyo ni quote hapa ndio nime hisi kuwa una jinsia ya kiume. .Baada ya kuniambia maneno hayo
Kuna hatari inataka kutokea hapa
 
  • Thanks
Reactions: wax
Ukishaoa hata Kama ulikuwa unapiga gegedo za kutosha utapungukiwa na nguvu za kiume tu.
Maana ya kutimiza huko ndani ni mengi kuliko uwezo wako.
Wanawake ni chanzo Cha upungufu wa nguvu za kiume kwa waume zao
 
Una umri gani,?
Oohoooo,ndugu tafuta pesa kwa kadri uwezavyo lakini achana kabisa na ndoto za kupata mteremko kutika kwa mwanamke ili wewe unufaike wakati yeye akibaki na maumivu ya kihisia,ni mbaya sanaaa...
 
Ukishaoa hata Kama ulikuwa unapiga gegedo za kutosha utapungukiwa na nguvu za kiume tu.
Maana ya kutimiza huko ndani ni mengi kuliko uwezo wako.
Wanawake ni chanzo Cha upungufu wa nguvu za kiume kwa waume zao
Mhh,nadhani tatizo kubwa ni psychology tu,maana wengi wanashuhudia kuwa wakiwa na wake zao,wana-perfom very poor,ila wakikutana watu wapya wanawabagaza vibaya sana,(hapa nguvu zinatoka wapi ilhali wanakuwa bado na majukumu yale yale nyumbani?)

Nadhani tatizo ni kwamba wanakuwa wamezoeana kiasi kwamba kisaikolojia kila mmoja haoni chochote kipya kutoka kwa mwenzake,so wanafanya ilimradi wamefanya,na perfomance inakuwa dhaifu...
 
Back
Top Bottom