Hivi kweli South Africa kulikuwa na ubaguzi wa rangi?

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,190
13,616
7d93f35216a720a27fdc611eea47b0dd--apartheid-ernest.jpg
 
Ubaguzi wa rangi ulikuwepo ndiyo! Lakini hiyo haifanyi watu wote kuwa wabaguzi. Hata jamii mbalimbali za Tanzania, Afrika na ulimwengu wote bado kuna ubaguzi na bado upo ushirikiano. Tofauti ni kiwango cha ubaguzi na namna ya kuutekeleza huo ubaguzi, hata Tanzania ya sasa lipo vuguvugu la ubaguzi.
 
Ubaguzi wa rangi ulikuwepo ndiyo! Lakini hiyo haifanyi watu wote kuwa wabaguzi. Hata jamii mbalimbali za Tanzania, Afrika na ulimwengu wote bado kuna ubaguzi na bado upo ushirikiano. Tofauti ni kiwango cha ubaguzi na namna ya kuutekeleza huo ubaguzi, hata Tanzania ya sasa lipo vuguvugu la ubaguzi.
Mkuu you are a great thinker. Best comment. Agizia chochote hapo kwa mangi ntalipia.
 
Back
Top Bottom