Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,938
- 6,297
Ni sawa kama anachapa kazi, sasa kumtoa huko kumleta huku ni katika kutunuku utendaji wake au ndo kamaliza kazi huko?Kanachapa kazi haka kabaiby isee! Mengine hayo ni umbeya tuuúuuuuu 😡!
Kama ni mtendaji haswa, wamuache apige kazi mpaka hiyi wilaya ionekane hadharani, wampe incentives tu za kutosha na pengine za ziada ili awe motivated. Wakiona alipofikia hakuna tena atakachoongeza, wampeleke kwingine, nako akatunyanyulie maendeleo, sio kumleta huku tunakoenda AUTOMATIC, hapa hataweza kuonesha uwezo, atazingirwa na ujinga na ukwelu kwamba anao ujinga, utaonekana hadharani hapa.