Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

Kanachapa kazi haka kabaiby isee! Mengine hayo ni umbeya tuuúuuuuu 😡!
Ni sawa kama anachapa kazi, sasa kumtoa huko kumleta huku ni katika kutunuku utendaji wake au ndo kamaliza kazi huko?

Kama ni mtendaji haswa, wamuache apige kazi mpaka hiyi wilaya ionekane hadharani, wampe incentives tu za kutosha na pengine za ziada ili awe motivated. Wakiona alipofikia hakuna tena atakachoongeza, wampeleke kwingine, nako akatunyanyulie maendeleo, sio kumleta huku tunakoenda AUTOMATIC, hapa hataweza kuonesha uwezo, atazingirwa na ujinga na ukwelu kwamba anao ujinga, utaonekana hadharani hapa.
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Lazima wataitwa kuoewa a b c za uongozi.
 
Halafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
..uko sahihi, mama angeshauriwa vizuri, wakurugenzi wanapaswa kutoka ndani ya utumishi wa umma sio wanasiasa au makada, vinginevyo atajaribu utumishi wa umma
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
EeeenHeeee!

Nacheka huku nikilia machozi kwa nchi yangu Tanzania.

Tunatoka kwenye kikaango tunaangukia kwenye makaa ya moto mkali.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Ungeteuliwa wewe ungekataa
 
Acheni dharau wateule almost wengi wa uDC ni wasomi wazuri sana huyo mfungua mageti wa filamu za Kanumba ana Masters MPA, Nikki ana Masters Simalenga msomi, Mwaipaya Msomi.

...huo u serious mnaoujaji ni upi....wateule wote ni makada wa chama Chao na wenye rekodi safi...acheni roho za kichawi waacheni vijana wenzenu wakafanye kazi na kuijenga Tanzania.

Kuna watu huwa mnajikuta nyie ndio mnastahili sana...mnajihesabia haki...hao waliopata wamekuwa vetted na wana sifa stahiki waacheni wakafanye kazi tuache kutia siasa kwenye kila kitu.

Ukiona unaumia uteuzi au mafanikio ya mwenzio na Huna sababu za msingi jitambue Huna tofauti na MCHAWI
.nakuunga mkono, hawa vijana wa juzi hapa jf wanashindwa kutifautisha uigizaji kama kazi na Elimu ya mtu. YAni kufungua mageti kwenye movie ndo mlinzi wa ukweli kwenye maisha ya kawaida???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom