DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,508
- 99,304
Kuna Jamaa aliniambia eti Pharmacists ni Learned Drug Dealers tu
Kuna Jamaa aliniambia eti Pharmacists ni Learned Drug Dealers tu
Yaani angalia hata vitu unavyojibu, ujinga ujinga mwingi sana. Sasa aliyekwambia ukiwa unaingia laboratory ndo kujua ku diagnose ni nani..?
Si umeona how foolish you are. Ukiwa mjinga usiwe na confidence bwana mdogo.
Msitukanane bhana, tunawaheshimu SanaOna hii takataka inatafuta basha.
Sasa vitu basic kama hivi vinahitaji daktari wa binadamu au mtu wa field ya medicine? Duka la Mangi hawauzi Panadol?
kisa una kadegree kamoja unataka ukiajiriwa tu uwe mphamasia wa wilaya kijana vumilia upate uzoefu ili ujue dawa zinzpotea vipi, zinzpokelewaje inventory inzfznyikaje nkHivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili.
Medical officer ana recommend dawa akiwa hana uzoefu wowote wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa. Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Comment nzuri doktaDah Mkuu umesoma Chuo gani ambacho kinakushindwa kujua kuwa...
Wote Daktari na Mfamasia Husoma Pharmacy ila tu Daktari husoma kwa Kiasi kile kimachohusiana na Mgonjwa...
Daktari hubase katika pharmacokinetics na kidogo Pharmacodynamics na Pharmacognosy
na mfamasia hu base kwenye Pharmacodynamics sana na pharmacognosy sana kuliko Daktari...
na ndo Maana daktari hawezi kuelelezea Dawa Ya Amoxycilne imatengenezwaje kwa sababu Hakusoma Pharmacognosy ila Ukimuuliza Dawa inafanyaje kazi kwa Mwili wa Binadamu atakuelezea mpaka inapotolewa na hata madhara yale hutokea vipi...
kwahyo usipotoshe umma Kuwa Kwenye Dawa Daktari hajui...
Japo mfamasia hajui How we Prescribe dawa na Dose maintanance na Kujua Dx ,Hx na Mx..
unaweza ukajua Dawa DUNIA NZIMA ZINATENGENEZWAJE NA ZINAKUWAJE DAWA LAKINI UKASHINDWA KUJUA DAWA GANI INAFAA KWA MGONJWA..
NB: BAHATI MBAYA MGONJWA HATAKI KUJUA DAWA INATENGENEZWAJE NA WAPI NA IMETOKANA NA NINI ANAACHOTAKA NI KUPONA NA DAWA IMLETEE MATOKEO MAZURI
Wanapenda kutunishiana vyeo badala ya kutunishiana pesaWatu wa afya mnapenda kugombana na kulumbanalumbana
Nadhan hata sisi maleimani tumeelewaSTAY ON YOUR JOB DESCRIPTION
View attachment 2819752
Jamaa Yuko vizur Sana,Wewe jamaa umemuelekeza kwa hekima sana.
Mkuu uko vizuri sanaKutest dawa as How?
Maana michakato yote ya madawa wanafanya Pharmacist..
Ila swala la Kuotesha wadudu Hapo utagombana na Scientist (Lab scientist) watakuja juu na wenyewe Hapa
Maana wao ndo wanaohusika na shughuli zote za Maabara pamoja na Wadudu wote iwe ni microbiology au parasite
Na maswala ya Udongo watu wa SUA ma Agrochemistry watakuua
Hivi vitu viko dunia nzima watu wameamka wanajifunza computer programming mitandaoni. Na ukiangalia hata google wanaajiri watu ambao hawajaenda chuo maana wameona kuna loop hole. Kuna vitu vingi sana mitandaoni na kuna mitandao inatoa course za bure. Kama unaona ni ngumu ingia youtube kuna full courses zinatolewa video za masaa hadi tisa. Tatizo waaafrika tunashinda kufuatilia udaku na mambo yasiyo na faida. Nipo chuo huku kitu ambacho ni compulsory katika course zote hapa kwenye chuo nilichopo ni computer science na Financial Accounting. Yaani huku nilipo hivi vitu ni lazima wanachukulia kama kujua kutumia Ms Word. Mfano hapa chini hii ni cousre ya computer science inatolewa na Havard. 👇 👇 👇 👇 👇Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili.
Medical officer ana recommend dawa akiwa hana uzoefu wowote wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa. Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Hivi vitu viko dunia nzima watu wameamka wanajifunza computer programming mitandaoni. Na ukiangalia hata google wanaajiri watu ambao hawajaenda chuo maana wameona kuna loop hole. Kuna vitu vingi sana mitandaoni na kuna mitandao inatoa course za bure. Kama unaona ni ngumu ingia youtube kuna full courses zinatolewa video za masaa hadi tisa. Tatizo waaafrika tunashinda kufuatilia udaku na mambo yasiyo na faida. Nipo chuo huku kitu ambacho ni compulsory katika course zote hapa kwenye chuo nilichopo ni computer science na Financial Accounting. Yaani huku nilipo hivi vitu ni lazima wanachukulia kama kujua kutumia Ms Word. Mfano hapa chini hii ni cousre ya computer science inatolewa na Havard. 👇 👇 👇 👇 👇
View: https://www.youtube.com/watch?v=8mAITcNt710&t=271s
Wahindi wanajifunza hivi vitu wakiwa makwao halafu wana-apply kazi abroad na wanapata tuchangamkie fursa.
Mimi sipo Harvard nipo chuo kingine lakini hizi ni fursa mojawapo nliamua ku share a nyinyi .Hongera kwa kuwepo Havard
Sawa mfamasiaWafamasia tujuane kwa likes na quotes.....
Unaijua Pharmacognos wewe, embu tulia ulalee toto
Tuishi tu humu humuKitu nilichojifunza kwenye career life ni kuwa ni rahisi kuichuikulia poa field ya mwenzio kwa sababu ya mtazamo wa nje kama outsider, Ila ukipata bahati ya kuielewa au kuifanya hata kwa siku tu. Utabadili mtazamo wako