Hivi kweli kuna 'Jini la Pesa?'

Hivi kweli kuna 'Jini la Pesa?'

kwahiyo hizo hela kumbe zipo! mkuu, hebu nifafanulie mwanzo hadi mwisho kuhusu hizo za kutoa kafara.
MIMI NAHITAJI MIHELA MKUU! pia nataka kujua, HIYO MIHELA INAKUA NI KIASI GANI? NI MIHELA INAYOTOKA SIKU ZOTE? AU INATOKA MALA MOJA?
kwa jinsi nilivyo na usongo, mimi mwenyewe ningeweza kujitoa kafara. yaani hivi, NAMAANISHA HIVI, NIFANYIWE MPANGO WA HIYO MIHELA, BAADA YA MIAAKA KADHAA, NIFE. nijibu usichoke
Sikushauri kabisa siku hizi wapigaji wengi utapoteza pesa muda vitu na uhai wa wasio hatia kisha ukose na hizo pesa
 
Sikushauri kabisa siku hizi wapigaji wengi utapoteza pesa muda vitu na uhai wa wasio hatia kisha ukose na hizo pesa
kwahiyo huwezi kunisaidia katika hilo 😑😑😑😑😑😑
 
Ni kweli , tangu zamani ila ni siri . Unaona mtu anapeta bila hata juhudi ya maana na huku anapasua sala sana . Zamani babu mmoja mcha Mungu ila duka lake hakuna mtu aliyemuona akinunua bidhaa , anafunga duka ila kesho duka limeshajazwa mali .
 
Maswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!

kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Shangaa na wewe! Huyo anayetaka kukupa Jini la Pesa hata nyumba hana, ana kakibanda ka nyasi mvua zikinyesha ni tabu tupu. Bado unaamini tu?
 
Sauda lkn lisemwalo lipo mi anaendelea kuzisaka nkifanikiwa nitaleta mrejesho
 
Yapo japo kwa sehemu ni story za kufikirika.....yapo maeneo ya mwambao wa pwani na hufanya uchaguzi kwa uangalifu na target ikiwa ni jinsia ya kiume.....ni mara chache mno jini hilo kumtunuku mwanamke....shida moja kubwa ni wivu ...likikutunuku utapata kila kitu bure ila usiwe muongo, mlinzi, mlevi wala mvuta sigara za aina zote

Huwa nakufatilia sana ktk mambo yako ebu naomba siku moja uzungumzie hili kwa kina ili pia wale wanajamvi pia tunaokua na imani fulani tupate kuelewa zaid maana siku hizi wapigaji wengi kweli Mshana Jr wahanga ni weng sana ktk hili mkuu
 
Maswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!

kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Jini lenyewe unalo katikati ya mapaja
 
Back
Top Bottom