Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,107
- Thread starter
- #61
Tatizo umeandika meeeeeeengi mpaka nahisi ni hadithi ulizosimuliwa na wewe ukaamini ni kweli.sio hadithi, mfano number 4 hiyo alikuwa nayo anko yangu ila alivyokufa tuu na mali zikaisha baada ya mwaka mmoja tuu ,,, ila pesa za majini sio nzuri aiiise
mimi nimeandika kuwa nahitaji pesa, sio pesa za mawazo, ziwe pesa kweli! masharti kwangu hayawezi kuwa kikwazo.
sasa wewe unaniambia hivi, mala vile.