Johnson Security Solution
Member
- Oct 1, 2019
- 43
- 17
Hali ilivyongumu hivi daah tutajitoa wengi kafara.


kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!Maswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Namsikitikia aliyekuzaa maana kwa hapa amezaa sheitwani kabisa...mbona masharti rahisa sana hayo!
wewe niambie zinapatikana wapi na zinapatikana vipi!
NB. ZIWE NI HELA KWELI, SIO HELA ZA KUWAZA WAZA.

Kama unatafuta msaada pasipo kuwa na Mungu...Pole Sana..Mungu hasaidii!
hela ninazozitaka hapa, si hela za mboga na viwalo, hapana.
NAHITAJI HELA ZA MAANA.