fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,497
- 27,761
Acheni Uzuzu, kazi nafanya, pesa napata.
Ni pesa za kula na kunya.
ila sasa, nahitaji MIHELA sio hela.
hahahaha sawa mkuu kuna jini naliuza una hela??
Acheni Uzuzu, kazi nafanya, pesa napata.
Ni pesa za kula na kunya.
ila sasa, nahitaji MIHELA sio hela.
Yapo japo kwa sehemu ni story za kufikirika.....yapo maeneo ya mwambao wa pwani na hufanya uchaguzi kwa uangalifu na target ikiwa ni jinsia ya kiume.....ni mara chache mno jini hilo kumtunuku mwanamke....shida moja kubwa ni wivu ...likikutunuku utapata kila kitu bure ila usiwe muongo, mlinzi, mlevi wala mvuta sigara za aina zote
Unataka Jini au Pesa!?hilo jini, liambie likupe pesa
Mkuu acha kumdanganya mwenzioSema hayo MANENO kimoyomoyo, huyo ndiyo JINI MWENYEWE
uwezi kuyaleta kwa lugha yetu mkuu,,nimeyapenda ila sijayaelewaSema hayo MANENO kimoyomoyo, huyo ndiyo JINI MWENYEWE
Sawa, Tuachane na "hadithi za kufikirika"Yapo japo kwa sehemu ni story za kufikirika.....yapo maeneo ya mwambao wa pwani na hufanya uchaguzi kwa uangalifu na target ikiwa ni jinsia ya kiume.....ni mara chache mno jini hilo kumtunuku mwanamke....shida moja kubwa ni wivu ...likikutunuku utapata kila kitu bure ila usiwe muongo, mlinzi, mlevi wala mvuta sigara za aina zote
Jini huyo!Mkuu acha kumdanganya mwenzio
Huu ni ushahidi kwamba kweli vyuma vimekazaMaswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Njoo pm tuyajenge mwanaSawa, Tuachane na "hadithi za kufikirika"
Kweli Pesa za namna hiyo zipo?
Nitazipata vipi?
Masharti siwezi shindwa wala siogopi katika hilo!