Zina mateso sana hela hizo yani watakao faidi ni ndugu zako tuu na mke ila wewe mwenyewe unakuwa unapata mateso balaaa ila kama uko tayari kufanya haya
1. kumuuwa mama yako au baba yako
2. kukutoa korodani moja au machine isiwe inasimama kabisa yani usiwe unapiga game
3.uwe unalala chini kwenye sakafu usiku bila kujifunika wa kulalia chochote na ukiwa uchi kila siku mpaka utakapo kufa
4.Mengine ni ya kutovaa vizuri, kutovaa viatu, usinywe pombe au kufanya starehe zozote, uwe unakula maharge na tembele kwa wiki mara 3 na siku zinazobaki unakula samaki na nyama isizidi nusu kilo
5.unaoga kwa wiki mara mbili
6. utazikuta huku huku
NB.
ukiwa tayari unijulishe nikupeleke mie nilishindwa