King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
at least i can be defined. i wonder what to call u...i need a pcr machine!
Cheapskate....you are!
Cheapskate....you are!
Naomba dua mi kila kukicha....
tangu nilete mahari kwenu imekua tabu,nitasusa kukuoa.
weeh, small house haitolewi mahari! ndo tatizo la kusainia mikataba hotelini j2! kha!
at least i can be defined. i wonder what to call u...i need a pcr machine!
aaaaaah, halafu hujanionea uporoto?
Uporoto wa Kaole kafulia
kila nikikuona wewe nazidi kummiss yeye.
lol! sikuwezi. hapa umezingatia rule na role yako kwa pamoja,hahaha!
Jamani rudini kwenye mada tumshauri mpendwa wa chako changu...lolhahahahaha, mkwe mimi penda wewe sana.
Jamani rudini kwenye mada tumshauri mpendwa wa chako changu...lol
kila nikikuona wewe nazidi kummiss yeye.
Hahahaha! Mwambie hasira hasara, atulie, na ajipange sawa sawa tumwage maushauri yetu...ukileta hasira jf utaondoka na kisukari walah tena!mpendwa mwenyewe haeleweki halafu bad ana hasira hasira naona.
Jamani rudini kwenye mada tumshauri mpendwa wa chako changu...lol
Kinyume chake
nyan na husnii siwawezi!
Si huyo Mwajuma na tabia yake mbaya ya kuchakachua sredi za watu. Hebu mchape ajambe kidogo.