Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.

Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.

Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Utafiti pori uko hivi!;

Wala Ndizi kwa sana! "Akili nje nje!" ref; Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa ukiwa nao darasani hawawezi!

Wala nyama kwa sana! "Hasira nje nje!"
Nyama iko nchani inatikisika kwa hasira!
Ref; Wanyambwa, Wakurya, Wamasai...
Akishika kisu hakurudi!

Wala samaki kwa sana! "umbea nje nje!"
Anacho ongea mdomoni sivyo kilicho rohoni!
Samaki yupo ndani ya maji hafumbi macho!
hhhhhhhhh...
 
Mkuu Mbeya ipi inayoongoza kwa umasikini? Wewe utakuwa unatoka Kanda pendwa
Huyo mngemsamehe tu amesema kitu asichokijua hapo ukimuuliza hata hizi determinant za kupima huo umaskin kwa Individual na community bases sidhani kama atajua hizo gdp aje na evidence na published report kusapot alichosema mmsamehe tu

Ni sawa mtu anaesema sumbawanga inaongoza kwa uchawi amenaliza
Au mtu anasema mwaka juzi watu wamekufa kuliko mwaka jana
 
Ukichunguza vizuri hao watoto wa hiyo shule utagundua wengi hawatokei Mbeya bali wamefuata shule fulani iliyojengwa Mbeya.

Wanambeya halisi wanasoma shule za day hapo Mbeya, sasa nenda kafuatilie matokeo yao halafu uje utupe mrejesho hapa.
Hakuna top ten wanafunzi huwa lazma mnyakyusa awepo mmoja au wa tatu ni kanuni

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Hata mseme kwamba shule wanasoma watoto tofauti lakini ndo ipo mbeya kifupi izo shule za private wako poa ila hyo iko zaidi

Wivu sijui katoka mkoani ila ndo kaifuata mbeya sasa hata uko kagera , Kilimanjaro sio wazawa ni watu kutoka sehemu nyingine pia wapo any way mbeya wako smart na kagera ila sio watu kkure sifa zitolewe
 
Kwenye hii sample ndogo wanaotoka Mbeya ni wangapi?

Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.
 
wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis
 
wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
 
Ukichunguza vizuri hao watoto wa hiyo shule utagundua wengi hawatokei Mbeya bali wamefuata shule fulani iliyojengwa Mbeya.

Wanambeya halisi wanasoma shule za day hapo Mbeya, sasa nenda kafuatilie matokeo yao halafu uje utupe mrejesho hapa.
Watu wa Mbeya wana akili kwa asili yao na hilo hata wakoloni walilitambua!! Siri yao moja ni watu wa kujitambua na ndio maana wana mafanikio; sio watu wa kuchachawa!!
 
Kwenye hii sample ndogo wanaotoka Mbeya ni wangapi?

Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.
Form two nao ni mtihani mkuu, tunataka mitihani ya form four na six
 
Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.

Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.

Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Mwaka huu Mikoa yenye wapigakura wengi kutoka Kanda Ya Ziwa imeangukia pia ndio maana serikali Kwa sababu za kisiasa hawajatoa top ten ya mikoa kama miaka mingine.
 
Back
Top Bottom