GUSSIE,
..HONGERA kwa hiyo div 1 kali kabisa ya dogo.
Nina maswali matatu.
1. dogo alisoma shule ya msingi Dsm, au Mbeya, au kijijini?
2. je, dogo amepata div 1 kali kwasababu ya St.Francis au angefaulu hivyohivyo hata kama angesoma shule ya serikali?
3. ni asilimia ngapi ya wanafunzi wa St.Francis wanatoka ktk shule za msingi za mkoa wa Mbeya?
..HONGERA kwa hiyo div 1 kali kabisa ya dogo.
Nina maswali matatu.
1. dogo alisoma shule ya msingi Dsm, au Mbeya, au kijijini?
2. je, dogo amepata div 1 kali kwasababu ya St.Francis au angefaulu hivyohivyo hata kama angesoma shule ya serikali?
3. ni asilimia ngapi ya wanafunzi wa St.Francis wanatoka ktk shule za msingi za mkoa wa Mbeya?