Hivi kwanini watu hawaipendi CHADEMA?

Hivi kwanini watu hawaipendi CHADEMA?

Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Bashite weka vyeti Mezani wacha kuwaya waya
 
ukitaka kuipenda chadema kwanza anza dua na maombi kukataa nguvu zote za mashetani na mapepo waliopo lumumba. hakika utaipenda😀😀
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Ni Kwa Nyie Ma-BASHITE(0) Tu. Mna haha mkihara lakini hamsaidiki.
 
HAINA HAJA YA KUIPALILIA CCM KWA STYLE HII. Ushajiuliza kwa Twaweza wamekaa kimya?
Mkuu unapata nguvu tu humu mtandaoni, lkn huko mtaan ni shida. Ndiyo maana mzee polepole katoa pesa za kushinda humu mtandaoni lkn hali ni mbaya.
Mnatia kinyaa sana nyie, huwez kupalilia chama kwa sytle hii. Kadri mnavyozid kupoteana ndiyo watu wanaenda upinzani. 2020 mnashida sana lbd mfanye bao. Nyie si wazee wa puchu(wazee wa bao la mkono)
 
Najitahidi sana kutafuta sababu za kuipenda Chadema lakini zinakosa. Naomba mnisaidie. Nifanye nini sasa ili niipende hii Chadema?
Bashite weka Vyeti Mezani automatic utajikuta unaipenda CHADEMA na hata kutamani kuolewa na mmoja wa Makamanda
 
Chanzo Cha Matatizo (ccm) wao ndio wanaongoza kwa kurithishana vyeo, watoto mpaka wake zao, funika kombe mwanaharamu apite, usipende kuzungumzia vitu ambavyo huvijui.
 
Kabla ya kutafuta sababu ya kuipenda CHADEMA, ingependeza zaidi kama ungeanza kutafuta sababu ya, kwa nini wazazi wako waliuza ng'ombe, ili waweze kupeleka ng'ombe nyingine shule?
 
Hutoweza kuipenda CDM kwa akili hizo za makalio na hatutapenda uchangamane nasi.
 
Oa mtoto wa mbowe au mtongoze mke wa T. Lissu...!
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Sasa kama walikutatua MARINDA wakakuharibu vibaya unategemea utaendelea kuwapenda? Noo! Kwa walivyokuumiza sitegemei kabisa uwapende! Ni haki yako!
 
UDINI, UKABILA NA UBINAFSI HUKO NDIO KWAO
 
Eti kwasababu katiba ya chama fulani mwenyekit AMESHA JIANDALIA MAKAO YA MILELE kwakufanikiwa kuipindua katb ya chama.
Si ajab 2021 kama akifanikwa kuvuka akaja na wazo la kubaeili katb ya taifa..... pole sana tanzania maana umebeba mbumbu wengi kuliko kenya& Rwanda.
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Nahisi akili zako zimepigwa. Chadema ilipata kura milioni sita! Halafu unatuletea hoja mfu kabisa.
 
Nikuwekee matokeo halali ya ubunge jimbo la kyela , kabla mitutu ya bunduki haijatumika ?
Nakushauri usiweke sababu ya viapo vya usimamizi wa zoezi La uchaguzi watakutafuta na kukubana as individual ila matokeo halali sehemu nyingi Tanzania yanafahamika nyuma ya pazia nadhani wanasubiri mpaka yale ya kenya yatokee hapa
 
chadema ni chama cha kifamilia zaidi kimeundwa zaidi ktk misingi mibovu yakikanda!! hakina dira that's why wafuasi wake huitwa nyumbu maana hawajui hata wanachokifata
USHAURI KWAKO MLETA MADA-kama wewe pia ni mwanachama wa nyumbu Tafadhali kimbia upesi sana laa sivyo huko utafundishwa kujiteka mwenyewe na kujikomboa mwenyewe

Wewe na Mleta maada Inaonyesha ni jinsi gani mnaukabila,Ukanda na Ubaguzi.

Kamuulize ni mwenyekiti wenu kama CCM bado ni chama cha wanyonge au ni chama cha Wasukuma.

Kama.ni ukabila na Ukanda CCM mnaongoza.Kama ni udini CCM mnaongoza.In short hamna facts za kuongea juu ya CDM, kama ukipendi chama chochote isemee moyo wako.Maana tupo wengi tusioipenda hata kutaka kukisikia Chama Cha Majambazi.
 
Back
Top Bottom