Hivi kwanini watu hawaipendi CHADEMA?

Hivi kwanini watu hawaipendi CHADEMA?

Watu gani?

Mwaka 2005 - CCM ilishinda kwa asilimia 80.3.

Mwaka 2010 ikashinda kwa asilimia 61.3

Mwaka 2015 ikashinda kwa 56.2

Hizi ni Takwimu kwa mujibu wa NEC ya CCM.

Hebu jiongeze wasiopendwa hapo ni akina nani?
 
Mimi siipendi chadema wala fisiem
1:chama cha wahalifu mfano wema
2:mafisadi mfano lowasa
3:walafi wa madaraka
4:mandumi la kuwil
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Huku Jf siku hizi kuna mpaka watoto wa darasa la nne. Yaani wakishajua kusoma na kuandika inakuwa shida.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CCM walikula rambirambi za tetemeko la ardhi huko Kagera
CCM inawatesa Watanzania kwa ufisadi (wizi wa fedha) za umma
CCM ni majangili wa nchi hii
Ccm hyo hyo imetengaa mabilion ya kukimbizaa mwenge ilihali wananchi wake wanakosaa huduma bora kilaa konaaa....
 
chadema ni chama cha kifamilia zaidi kimeundwa zaidi ktk misingi mibovu yakikanda!! hakina dira that's why wafuasi wake huitwa nyumbu maana hawajui hata wanachokifata
USHAURI KWAKO MLETA MADA-kama wewe pia ni mwanachama wa nyumbu Tafadhali kimbia upesi sana laa sivyo huko utafundishwa kujiteka mwenyewe na kujikomboa mwenyewe
Najiandaa kwenda air port kumpokea Dr Wilbroard Peter SlaaSlaa,
Hawa manyumbu nilishawachoka
 
Tatizo la CDM ni kujuana sana pale wenye maamuzi wanafahamika Japo hata upande Wapili wakati mwingine wachache huamua lakini hawa Jamaa ndio mfumo wao rasmi... zaidi ni chama kisichoeleweka na kipi huwa kinasimamia...
 
Hili tatizo kubwa Chadema mnalo.... Linaitwa u much know... Mnadhani mnajua kila kitu na watu wakipinga sera zenu kwa hoja ghafla mnaanza kuwaita ni CCM. Matokeo yake hamshindi kwasababu hamsikilizi ushauri.
Sio kweli, na wewe acha kujifanya much know. Sababu za Chadema kutoshinda unazijua vema kabisa kuwa ni kutokuwa na tume huru ya uchaguzi. Hayo mengine unayosema ni mbwembwe tu ndugu yangu ili muonekane na kupata kick tu basi.
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Chadema ni chama cha demokrasia ya Mateja. Kina sifa ya kutetea waharifu na kuwapa uanachama watu wa namna hiyo.
 
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
chadema ni genge la wasanii na waganga njaa
 
Nyuzi nyingine shida tupu, yaani tumefikia huku. Labda hii ndio jamii yetu tulivyo.
 
Uzi umevamiwa na Lumumba, hebu chunguzeni kuna agenda gani wanataka kuikimbiza?
Vyeti bado havijaletwa.
 
Wana wasi wasi dikteta uchwara anavyozidi kukosa mvuto ndani ya MACCM na nchini kwa ujumla na huyo mhuni jambazi Bashite kutopewa hata sekunde chache au hata para moja kumeanza kuwatia hofu kubwa. Kwa hiyo wamepewa shughuli nzito ya kuja kumpamba dikteta uchwara na mhuni Bashite humu.

Uzi umevamiwa na Lumumba, hebu chunguzeni kuna agenda gani wanataka kuikimbiza?
Vyeti bado havijaletwa.
 
CCM, a.k.a Mafisadi, vilaza, mabashite, wezi, madikteta...sikipendi hiki chama na watu wake kabisa... Natamani wapatwe na ukoma wote.
 
Back
Top Bottom