Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Kwa sababu ni wanafiki na walaghai. Leo wanakuambia fulani fisadi hasafishiki na kesho wanakuambia ni malaika tulikosea!! Pia vyeo hupeana kwa ukanda na ukabila na huruhusiwi kuutamani uenyekiti ni kosa kubwa utafukuzwa Chama na kuitwa msaliti!! Ndio maana wenye kujitambua hawakipendi kabisa hicho Chama!!Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
