Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Kwa sababu hawajui wanachosimamia! Yaani Mbowe anachoamini ndicho kinachoaminiwa na wanachama wooote. Mbowe anachosema kinakubalika na wanachama woote! Mbowe akikwepa kodi wanachama woote wanaandamana. Sasa Watanzania sio wajinga kama CHADEMA wanavyofikiria! Inatambua kuwa kuna viongozi kadhaa wako pale kwa ajili ya matumbo yao na si kwa ajili ya wananacji hivyo wamewashtukia!Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.