Yerico amesema anachukia vitu viwili tu shetani na ccmLakin ukumbuke kuna watu hawaitaki kuisikia ccm pia
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Nyumbu wengi wapo lumumba, mada zote za kukurupuka mnadakia ikibuma mnalala mbere.chadema ni chama cha kifamilia zaidi kimeundwa zaidi ktk misingi mibovu yakikanda!! hakina dira that's why wafuasi wake huitwa nyumbu maana hawajui hata wanachokifata
USHAURI KWAKO MLETA MADA-kama wewe pia ni mwanachama wa nyumbu Tafadhali kimbia upesi sana laa sivyo huko utafundishwa kujiteka mwenyewe na kujikomboa mwenyewe
Ccm kukoje kaka ?. So imeuziwa jipu bei ya jumla ?hebu angalia mawaziri , ma Rc , ma Dc wakurugenzi na wateule wote wasukuma ni %ngapi. Hata bashite si msukuma ?. Waislam wangapi kateua jipu ?waluther ? Ukanda hasa ukabila kabariki Jipu.CHADEMA ubinafsi,udini,ukabila, ukanda umejaa ndio maana wanachukiwa sana
Kama ilivyo ccm. Km fedha ni mpwa . Elimu yake nayo utata. Masters Ud mulizeni ilikwishaje ?.,DC wa kisarawe unamjua sio mtoto wa Jipu ?chadema ni chama cha kifamilia zaidi kimeundwa zaidi ktk misingi mibovu yakikanda!! hakina dira that's why wafuasi wake huitwa nyumbu maana hawajui hata wanachokifata
USHAURI KWAKO MLETA MADA-kama wewe pia ni mwanachama wa nyumbu Tafadhali kimbia upesi sana laa sivyo huko utafundishwa kujiteka mwenyewe na kujikomboa mwenyewe
Wewe ndiye huipendi chademaKila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Atakae muunga jipu aende wodini asipimweMTU atakemuunga mkono Lowasa akapimwe akili (Msigwa), je unataka jingine?
Bora mbuzi aliwa. Ccm no fisi mzeeKwani wanachama wa CHADEMA ni MBUZI?
Kwa kweli km kuna watu wajinga Dunia ni Ccm. Waota cdm kila uchao Chris' nae cdm?Hayana akili ndio maana hayapendwi
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
sasa hv ndo ukanda, udin, na ukabila unaonekana zaid kuliko ilivowah kutokea tz. nadhani ni kwa sababu rais ni mbowe na chadema ndo kilichoshika dola. kuna watu wengine humu wanatumia akili za kuambiwa. za kwao wamefungia kabatini. changanya na za kwako wewe utajua mdini mkabila mkanda ni yupi. kalagha bahoCHADEMA ubinafsi,udini,ukabila, ukanda umejaa ndio maana wanachukiwa sana
Swali lako la kijuha kamuulize mnafiki mwenzio pole pole kwanini chama kinachochukiwa na Watanzania ndiyo kishinde uchaguzi kama uchaguzi huo utakuwa huru na wa haki.