Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,739
- 5,978
WapoooooooCCM walikula rambirambi za tetemeko la ardhi huko Kagera
CCM inawatesa Watanzania kwa ufisadi (wizi wa fedha) za umma
CCM ni majangili wa nchi hii
WapoooooooCCM walikula rambirambi za tetemeko la ardhi huko Kagera
CCM inawatesa Watanzania kwa ufisadi (wizi wa fedha) za umma
CCM ni majangili wa nchi hii
WapooooooWagonjwa wa akili wengi siku hizi!
Nilipita juzi Dodoma nikakutana na wajinga kama wewe nilichogundua ni kwamba bado ujinga, umasikini na maradhi vitakumbatiwa kwa nguvu zote na CCMCHADEMA ubinafsi,udini,ukabila, ukanda umejaa ndio maana wanachukiwa sana
WapoooooCcm hyo hyo imetengaa mabilion ya kukimbizaa mwenge ilihali wananchi wake wanakosaa huduma bora kilaa konaaa....
WapoooooooWana wasi wasi dikteta uchwara anavyozidi kukosa mvuto ndani ya MACCM na nchini kwa ujumla na huyo mhuni jambazi Bashite kutopewa hata sekunde chache au hata para moja kumeanza kuwatia hofu kubwa. Kwa hiyo wamepewa shughuli nzito ya kuja kumpamba dikteta uchwara na mhuni Bashite humu.
WapooooNilipita juzi Dodoma nikakutana na wajinga kama wewe nilichogundua ni kwamba bado ujinga, umasikini na maradhi vitakumbatiwa kwa nguvu zote na CCM
Jumlisha kukumbatia kila aina ya kapi bila kuangalia ni safi au ni chafu,hiki kitendo ndio kilichonifanya niichukie chadema nakuidharau mpaka nikaamua kuichana kadi yao.CHADEMA ubinafsi,udini,ukabila, ukanda umejaa ndio maana wanachukiwa sana
Ni ww to na familia yako na sababu kubwa nyinyi huwa wapumbavu mazezeta huwa hatuwezi kufikiria ss unategemea nini nyie kazi yenu nikula tu hata kama chakula cha nguruwe ww hula sasa unawezaje kuipenda chadema ?ww ni zumbukuku.Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto za majinamizi.
Unatumia takwimu za wapi kusema kuwa watu wanaichukua cdm wakati mwaka juzi waliongoza kura mikoa 5 na pia walipata kura ml 6!.CHADEMA ubinafsi,udini,ukabila, ukanda umejaa ndio maana wanachukiwa sana
Chukua bendera... loweka kwa muda wa masaa kadhaa... kunywa maji yake... hakika dozi itakuingia