tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,072
- 16,624
Habari watanganyika wenzangu?
Kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa Dar ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na msichana wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lakini yeye ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage, chips etc sasa najiuliza kwanini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?
Kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa Dar ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na msichana wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lakini yeye ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage, chips etc sasa najiuliza kwanini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?