Hivi kwanini wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali?

Hivi kwanini wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,072
Reaction score
16,624
Habari watanganyika wenzangu?

Kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa Dar ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na msichana wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lakini yeye ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage, chips etc sasa najiuliza kwanini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?
 
habari watanganyika wenzangu?
kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa dar..ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na manzi wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lkn yey ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage,chips etc..sasa najiuliza kwa nini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?

Kwasababu wakila hilo nguna linawachubua kuanzia mdomoni hadi ndani tumboni
 
Kumbe shule zimefungwa....

Nimeshaelewa....
 
sasa hvyo vibaga wanavyokula wanashiba kweli?



Hahahahahahahahaha.....na bado wanaacha kidogo eti wameshiba mimi kuna kipind nilitoka na ex gf amekula chipsi eti kabakisha nikamwambia usinitanie hebu songeza hiyo plate hapa unafikiria tunatumia pesa za msoga kidogo nimwambie na hiyo juice uliyoacha lete hapa....hahahahahahahaaha
 
habari watanganyika wenzangu?
kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa dar..ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na manzi wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lkn yey ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage,chips etc..sasa najiuliza kwa nini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?


Ni kwa sababu wana akili za utumwa, wao wanafikiri wakila ugali hawataolewa ama kutoka na wazungu. Yaani wanajifanya ni wa matawi wakati ni lose balls tu wasiokuwa na issue.
 
Habari watanganyika wenzangu?

Kuna utafiti nimeufanya na sample size yangu nimeichukulia maeneo ya mijini hasa Dar ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali.yani unaweza ukawa na msichana wote mnasikia njaa mkaenda nae kwenye mgahawa wewe ukaagiza nguna lakini yeye ataagiza vijitu vya kjiinga jinga kama vile sausage, chips etc sasa najiuliza kwanini warembo wengi hawapendi kugonga nguna?

Nguna Wanayokula Kila Kukicha 24/7 Na Iliyo Tamu Kama Asali Inawatosha Sana Tu. Hata nifah Analijua Hili Kwani Yeye Pia " Anangunika " kwa Kwenda Mbele.
 
Last edited by a moderator:
Nguna Wanayokula Kila Kukicha 24/7 Na Iliyo Tamu Kama Asali Inawatosha Sana Tu. Hata nifah Analijua Hili Kwani Yeye Pia " Anangunika " kwa Kwenda Mbele.

Umejuaje sasa kaka yangu?
Sio siri, 'nangunika' kwelikweli.
Lunch yangu most of the times ni ugali,mara chache wali na kila Ijumaa ni pilau/biriani.
Usiku ndio nakula dinner za kisista duu...
Hehehehee
 
Last edited by a moderator:
ugali haupandi kwani?


Ugali unapanda Sana hasa upate samaki tena nikimpata WA Leo Leo nakula had unishangae au ugali kauzu walokolea nyanya na ndimu 😋 acha kabisa
 
Umejuaje sasa kaka yangu?
Sio siri, 'nangunika' kwelikweli.
Lunch yangu most of the times ni ugali,mara chache wali na kila Ijumaa ni pilau/biriani.
Usiku ndio nakula dinner za kisista duu...
Hehehehee

Ukingunika Huwa Una " Twanga Photo? " Na Kukata Mauno?
 
Ugali unapanda Sana hasa upate samaki tena nikimpata WA Leo Leo nakula had unishangae au ugali kauzu walokolea nyanya na ndimu 😋 acha kabisa
nimekupenda bure. hahahaha umetisha. kitu ugali samaki wa kukaanga na kachu kachumbari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom