agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Kweliii kabisaa
Especially Awe mfupi na kitambi na vimatako vya chinichini.Na mwendo wa Kim Jin North Korea
Kweliii kabisaa
Weka vipimo vyako tuone SK2006.Duh! Kwahiyo namimi ni mfupi?
Kwani wanajuaje wewe ni mfupi? Au unaanzaga kuwatumia vipimo?Inaniuma sana, maana hata PM hamtaki kujibu....
MrefuuuShemeji na yeye kumbe mfupi
Sijui hata nani amesema mimi ni mfupi wallah, maana nimejikuta nawaza kwamba mwanaume mfupi anapimwa kutoka kwenye nini...??Kwani wanajuaje wewe ni mfupi? Au unaanzaga kuwatumia vipimo?
Ukute demu km nyie maneno mengi huwa mara nyingi mnanuka papuchi km uvundo.Halafu wanakuwaga na hasira na kupenda kujihisi 😂 huwa hawana amani sijui kwanini
Kila nikiangalia video youtube nakutana na wanaume wafupi tu, instagram kila mwanaume anae post picha ni mfupi. Hivi tanzania hakuna wanaume warefu? Kwani mnakula nini mpaka hamrefuki? Raha ya mwanaume awe mrefu ndio anapendeza hata kama ukisimama nae anakuzidi urefu sio mwanaume mfupiii kama mtoto mdogo. Halafu wanaume wafupi hawana mvuto hata wakivaa hawapendezi. Mimi mwanaume akiwa mfupi hata anipite miaka zaidi ya 20 namuona kama mdogo wangu tu.
Unadhani hata kama nika mbilikimo utasema ukweli basii utadanganya tuMrefuuu
Kwenye maandishi.Sijui hata nani amesema mimi ni mfupi wallah, maana nimejikuta nawaza kwamba mwanaume mfupi anapimwa kutoka kwenye nini...??
😆 😆 😆 ngoja pombe iishe kichwani utaelewaUnadhani hata kama nika mbilikimo utasema ukweli basii utadanganya tu
She/He is not okay, she/He need help... (i don' even sure if is SHE or HE)
Kwani wewe mrefu?